labda nikusaidie kwa majina kuna white gap, red ,pure red ,gold ,tambala american gap ,kuruani na nk
bei ni nafuu kutokana na ukubwa na ubora gap jike na dume ni 1000 kuruani jike na dume ni 1000 red ni 2000 kwa mmoja na gold ni 5000 kwa mmoja
unawaweka kwenye maji ambayo sio ya bahari kwenye chombo chochote wengi huwaweka kwenye kwelam mfano wa box la vioo chakula ni ugali au spesho food kama toyo na nk maji unaweza kubadilisha yatakapochafukaUnawafugaje hebu tuambia wengine hatujui,ungetuppa utaalamu kidogo,nikijua naweza hata kukupeleka ziwa Malawi wako wengi hao samaki ,nasikia miaka ya nyuma kuna mzungu pale Kyela alikuwa anawavua na kuwapeleka Marekani
samaki wanauzwa wale wa mapambo bei che tupo dar es salaam kwa mahitaji piga simu 0712505049
samaki wanauzwa wale wa mapambo bei che tupo dar es salaam kwa mahitaji piga simu 0712505049
kaka zebra adimu sana alafu si unajua tabia zao za kuwala wenzao so ni ishu kuwafuga