Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,583
- 6,633
Samaki kibao wanaelea katika bahari ya hindi eneo la Aga Khan jijini Dar. Wananchi wanafanya kuokota tu.
Haijulikani chanzo cha samaki hao kuelea.
Hofu ni juu ya madhara yatakayotokana na samaki hawa. Ni sumu gani imewaua samaki hawa?
UPDATE:
Serikali yatoa kauli
Haijulikani chanzo cha samaki hao kuelea.
Hofu ni juu ya madhara yatakayotokana na samaki hawa. Ni sumu gani imewaua samaki hawa?
UPDATE:
Serikali yatoa kauli