Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Sidhani kama ni wazo zuri kwa Rais kuzungumzia suala la EPA tena. Sidhani kama wananchi kweli wanachotaka ni kumsikia akizungumzia historia ya EPA, kamati ilivyofanya kazi na yote yaliyojiri. Naamini Watanzania wanataka zaidi ya kumsikia Rais! So, kabla hajazungumza naomba nimtumie ujumbe.
[media]http://www.klhnews.com/images/podcasts/liongozetaifa.MP3[/media]
[media]http://www.klhnews.com/images/podcasts/liongozetaifa.MP3[/media]