Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Ndugu zangu,
Mmojawapo ya wanamtandao waliomfikisha Kikwete hapo alipo ni Bw. Salva Rweyemamu. Huyu jamaa alitumia kalamu yake kwa nguvu zake zote kumpamba kikwete na bila aibu ndiye aliyeongoza jopo la waandishi wa habari waliomchafua Mzee mwenye rekodi ya kutukuka Mhe. Salim Ahmed Salim.
Alitumia gazeti maarufu wakati huo la RAI kuwadanganya watanzania kwamba Kikwete ni TUMAINI LILILOREJEA!! Kama kawaida ya kikwete, hakuna mwanamtandano hata mmoja ambaye yupo kijiweni hana kazi. Wote wamepewa vyeo vikubwa bila kujali wana uwezo au hawana.
Najua Salva ni msomaji wa mtandao huu wa JF. Sasa nataka atueleze kwa moyo wa dhati kabisa, je tumaini lililorejea mbona hatulioni!!! Limeenda wapi?? Au ni yeye na wanamtandao wenzie ndiyo pekee wanaoliona!
Mmojawapo ya wanamtandao waliomfikisha Kikwete hapo alipo ni Bw. Salva Rweyemamu. Huyu jamaa alitumia kalamu yake kwa nguvu zake zote kumpamba kikwete na bila aibu ndiye aliyeongoza jopo la waandishi wa habari waliomchafua Mzee mwenye rekodi ya kutukuka Mhe. Salim Ahmed Salim.
Alitumia gazeti maarufu wakati huo la RAI kuwadanganya watanzania kwamba Kikwete ni TUMAINI LILILOREJEA!! Kama kawaida ya kikwete, hakuna mwanamtandano hata mmoja ambaye yupo kijiweni hana kazi. Wote wamepewa vyeo vikubwa bila kujali wana uwezo au hawana.
Najua Salva ni msomaji wa mtandao huu wa JF. Sasa nataka atueleze kwa moyo wa dhati kabisa, je tumaini lililorejea mbona hatulioni!!! Limeenda wapi?? Au ni yeye na wanamtandao wenzie ndiyo pekee wanaoliona!