Mh Mbowe aliwahi kusema; Tunahitaji Mjadala kujadili mustakabali wa Taifa letu.
Vyombo vya habari havikuipa habari hiyo uzito, Rais JK, Spika na CCM yao, kama kawaida hawachukulii kwa uzito maoni ya Wapinzani, labda kwa kuogopa kuwapa umaarufu CDM.
Leo tunashuhudia yanayotokea, wasioona wanasikia na kusimuliwa yanayotokea nchini mwetu.
Nimemkubali Mh Mbowe, Mbowe si mwana siasa tu bali ni Mtanzania mzalendo, mwenye maono na ameshapevuka kutoka kuwa mwanasiasa ea siasa zetu uchwala.
Vyombo vya habari havikuipa habari hiyo uzito, Rais JK, Spika na CCM yao, kama kawaida hawachukulii kwa uzito maoni ya Wapinzani, labda kwa kuogopa kuwapa umaarufu CDM.
Leo tunashuhudia yanayotokea, wasioona wanasikia na kusimuliwa yanayotokea nchini mwetu.
Nimemkubali Mh Mbowe, Mbowe si mwana siasa tu bali ni Mtanzania mzalendo, mwenye maono na ameshapevuka kutoka kuwa mwanasiasa ea siasa zetu uchwala.