Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Habari za JF wanandugu. Kwa kawaida ni kitu cha busara kumsalimia SHIKAMOO mtu aliyekuzidi umri. Lakin Je, kama una mpenzi wako amekuzidi umri ni lazima kusema SHIKAMOO? Hasa kwa mabinti ambao wao ndio huwa na wapenzi wakubwa kiumri zaidi yao. Mfano, Binti miaka 22 mwanaume 29, je huoni ni lazima umsalimie shikamoo?