asha ngedere
Member
- Nov 6, 2009
- 92
- 11
nawasalimuni nyote kwa moyo mmoja, kaka zangu, baba zangu, mama zangu na wanawake wenzangu kwa ujumla. jamani, mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi. japo ni mgeni humo ndani, lakini naomba tushirikiane kwa pamoja kuijenga nchi yetu na kuwafukuzia mbali wale wanaoibomoa. au siyo jamani? tukosoane bila kusuguana!