C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Yule mtangazaji wa siku nyingi atuma dongo kwa magazeti ya UDAKU hasa hasa yanayomilikiwa na global publisher na kiu na amani ambayo yanaandika sana habari za mastaa wa movie kua ni magazeti ya bei rahisi. Inshu hiyo imetokea katika kipindi chake (huyo Mtangazaji wa zamani) cha mkasi kinachorushwa na EATV
sasa sikilizia majibu yake kutoka kwa Mzee
Mkasi - S01E01 with iRene Uwoya - YouTube
RISASI MCHANGANYIKO NA DADA ZAKE WAZEE WA KIU YA JIBU
YETU MACHO
sasa sikilizia majibu yake kutoka kwa Mzee
Mkasi - S01E01 with iRene Uwoya - YouTube
RISASI MCHANGANYIKO NA DADA ZAKE WAZEE WA KIU YA JIBU
YETU MACHO