MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Kwa nini Jeshi la Polisi linamchunguza kwanza mtuhumiwa kabla ya mtuhumu? Nimeona Polisi wakiwa mstari wa mbele sana kwa kuchunguza mtuhumiwa kwa njia mbalimbali na sijasikia mtuhumu akichunguzwa. Je hii si changamoto kwa uvunjaji wa haki za binadamu ndugu wanaharakati? nasma hivyo kwa sababu wakati mwingine mtuhumu anaweza kutoa maelezo ya uchochezi kwa ajili ya utetezi wakati kweli yeye ndio mkosaji na amewahi kufungua mashtaka.