Swahilian
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 591
- 66
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini yamegawanyika' namshukuru mola,ALLAH,JAH,JEHOVA nimefika sayuni' Nina ujumbe wa wengi wanokuja ingawa sina hakika iwapo wote watafika hapa duniani' nimechoka sana naomba nafasi nipumzike, kesho ntawahabarisha nlipokuwa kwake! ENYI MLIOAMINI.. NIPOKEENI...