Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Kwa habari za uhakika nikwamba walio enda nje kwa matibabu hawatarudi kwa hali inavyoonyesha na lengo la wa2 flani walio wawekea sumu nikuwa wawili kati ya walioenda walirudi salama coz waliiwahi sumu ile mmojawapo ni "Makufuli"....habari ya sahivi mmoja wa waliobaki na kurudi ni kushney ameanza kunyonyoka nywele zote za kichwani! Urais 2015 noumaaar na kile chama mnachoona ndo chaukweli "CDMA" kinafadhiliwa na huyo anae wekea wenzake sumu na akipata msitegemee kwenye chama chake tusitegemee ataangushwa na CDMA cz anamkwanja na ameshika na hiyo CDMA.... Wenye akili watabisha ila baada ya miezi kama 4 mtaukubali ukweli wangu! Samwel Sitta walimshindwa mzee nuksi amakweli chuma cha pua! Asinitukane m2 wala kunikosoa......na na na february pia yuko upande wa mweka sumu na na na aaa ntawataja wote! Wakuu privacy wangu kwanza wasije niua na mm!