Namshukuru Mungu kwa chakula ninachokipata, kama kuna dhambi zozote eheee Mungu naomba uwasamehe. Kwa kweli inasikitisha sana
Namshukuru Mungu kwa chakula ninachokipata, kama kuna dhambi zozote eheee Mungu naomba uwasamehe. Kwa kweli inasikitisha sana
Hiyo ni njia nzuri ya kuwa na heshima na kile kidogo mtu unachokipata na kukitumia vizuriNdo maana mimi hata kiporo kikibaki lazima kiliwe kwanza ndo chakula kipya kipikwe hakuna kutupa chakula.