Sakata la TZ kuomba eneo baharini.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Baada ya waziri wa makazi,ardhi na nyumba prof.Anna Tibaijuka kuwasilisha ombi la Tanzania kuongezewa eneo la mita kadhaa za mraba baharini,SMZ imekuja juu.Serikali ya mapinduzi ya zanzibar imedai kwamba haikushirikishwa katika mpango huo.Pia SMZ imesema kwamba katika hali halisi,wao Zanzibar ndo wenye haki ya kwenda kuomba kuongezewa eneo baharini tena bila hata kuingiliwa na serikali ya jamhuri ya muungano ya Tanzania.SMZ imesema bara hawana haki yoyote katika suala hili na wamepotoka kwa kuchukua uamuzi huu.
 
kwa hiyo hadi upande wa mtwara wao ndo wenye haki ya kuomba.

Ila mada ilishajadiliwa
 
Baada ya waziri wa makazi,ardhi na nyumba prof.Anna Tibaijuka kuwasilisha ombi la Tanzania kuongezewa eneo la mita kadhaa za mraba baharini,SMZ imekuja juu.Serikali ya mapinduzi ya zanzibar imedai kwamba haikushirikishwa katika mpango huo.Pia SMZ imesema kwamba katika hali halisi,wao Zanzibar ndo wenye haki ya kwenda kuomba kuongezewa eneo baharini tena bila hata kuingiliwa na serikali ya jamhuri ya muungano ya Tanzania.SMZ imesema bara hawana haki yoyote katika suala hili na wamepotoka kwa kuchukua uamuzi huu.


Tags؛‎ wabara hawana haki ya kuomba, bali wazanzibari(japo hawajaona umuhimu wa kuomba).

Hii naifananisha ni lile sakata la MOU baina ya kundi moja la taasisi za kidini na kisha kundi lingine likadai limeonnewa kutopewa MOU japo halikuomba na lilikuwa halijaona umuhimu wake.
 
Baada ya waziri wa makazi,ardhi na nyumba prof.Anna Tibaijuka kuwasilisha ombi la Tanzania kuongezewa eneo la mita kadhaa za mraba baharini,SMZ imekuja juu.Serikali ya mapinduzi ya zanzibar imedai kwamba haikushirikishwa katika mpango huo.Pia SMZ imesema kwamba katika hali halisi,wao Zanzibar ndo wenye haki ya kwenda kuomba kuongezewa eneo baharini tena bila hata kuingiliwa na serikali ya jamhuri ya muungano ya Tanzania.SMZ imesema bara hawana haki yoyote katika suala hili na wamepotoka kwa kuchukua uamuzi huu.

Unaelewa maana ya SMZ au unakurupuka tu kuandika? Hivi Jussa ndo amekuwa SMZ? Usipotoshe watu kwa kitu usichokijua. Kwa taarifa yako SMZ imeshirikishwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Fanya utafiti kabla ya kuja na jambo.
 
watakuwa tayari wameshapata mtu wa kumuuzia,
tz ni kuishi kiujanja ujanja tu.
 
Zanzibar, what is wrong with their leadership? Kwanini maneno maneno kwenye kila kitu? A sign of weakness??
 
wazanzibar bwana!!! kila kitu wanataka wasikike kila kitu,,, utakuta ni wazee wale wasio na kazi ambao kazi yao kubwa kukaa kwenye vijiwe vya kahawa kutwa nzima...hao hao wanajazana ujinga mwisho wasiku wanazua maneno yasiyo na kichwa wala miguu
 
Back
Top Bottom