Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,322
tutawapa 50 watoto wazuri kama haitoshi semeni tutawaongeza,mnataka hii 50 tuwape lini?Mkuu, angalau hapa haki imeonekanabkutendeka tofauti na swala la Mbuyu, Yondani, Ramadhani sing'ano orodha inaendelea...halafu kumbuka ilikuwa imebaki siku nne mkataba uishe halafu tulikuwa tumemfungia ingawa kimkataba hata kama ilikuwa imebaki sekunde...