NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,380
- 12,937
Kuelekea Simba Day tar 6/08, viongozi wa Simba SC wanakuna vichwa namna gani watapata kipa Bora na mwenye uwezo wa kumfunika Aish Manula au angalau amfikie hata kwa asilimia 75%.
Viongozi wanalaumiana na kutupiana maneno kuhusu Kipa Mbrazil kuletwa kikosini wakati hana sifa.
Kuna tetesi Mo Dewji anataka kumtimua kijana aliyeajiliwa kama Head of Scouting maana hakuna alichokifanya katika usajili huu bali anatumika na walanguzi (wapiga dili).
Suala la Kipa Mbrazil Robertinho katumika kama ngazi lakini kuna kundi la watu wachache linategemea kupiga hela za Simba SC na kundi hilo liliamua kumtumia Robertinho kama alivyotumika Mark Zolan kumleta Derjan (Mzungu) na walanguzi walipiga pesa.
NALIA NGWENA kutoka kwenye vyanzo vyangu vya ndani kabisa kiwango kibovu cha Mbrazil kinawanyima usingizi viongozi wa Simba SC na wanajitahidi sana kutafuta kipa mbadala.
Je, kipa atakayetangazwa Simba Day atakua ni wa viwango Kama Aish Manula au tutegemee ya Mbrazil an Derjan "Mlete Mzungu"?
Viongozi wanalaumiana na kutupiana maneno kuhusu Kipa Mbrazil kuletwa kikosini wakati hana sifa.
Kuna tetesi Mo Dewji anataka kumtimua kijana aliyeajiliwa kama Head of Scouting maana hakuna alichokifanya katika usajili huu bali anatumika na walanguzi (wapiga dili).
Suala la Kipa Mbrazil Robertinho katumika kama ngazi lakini kuna kundi la watu wachache linategemea kupiga hela za Simba SC na kundi hilo liliamua kumtumia Robertinho kama alivyotumika Mark Zolan kumleta Derjan (Mzungu) na walanguzi walipiga pesa.
NALIA NGWENA kutoka kwenye vyanzo vyangu vya ndani kabisa kiwango kibovu cha Mbrazil kinawanyima usingizi viongozi wa Simba SC na wanajitahidi sana kutafuta kipa mbadala.
Je, kipa atakayetangazwa Simba Day atakua ni wa viwango Kama Aish Manula au tutegemee ya Mbrazil an Derjan "Mlete Mzungu"?