Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Hofu yangu ni hiyo, pengine serikali ilituondoa kidogo kwenye kashfa yao kuu iliyoibuka siku wakati mgomo wa madokta unatokota.
Hawa mafisadi sita vigogo wa serikali tayari wameuza gesi yetu aliyetupa wenyezi katika pwani yetu ya Bahari ya Hindi. Wameuza kwa wageni na kuwekewa mabilioni huko Uswisi na kilichobaki ni kwa wageni hawa kuweka offshore rigs zao na kuchota gesi (na mafuta?) na kuingiza katika meli za tanker zitakazokuwa zinaegesha kule baharini bila ya sisi kujua.
Baadhi ya vigo hawa ni bado wako serikalini na majina yao yaweza kujulikana wakati wowote na bila shaka wanahaha.
Hakika serikali imebanwa mbavu hapa. Jee safari hii watamuuwa nani?
Hawa mafisadi sita vigogo wa serikali tayari wameuza gesi yetu aliyetupa wenyezi katika pwani yetu ya Bahari ya Hindi. Wameuza kwa wageni na kuwekewa mabilioni huko Uswisi na kilichobaki ni kwa wageni hawa kuweka offshore rigs zao na kuchota gesi (na mafuta?) na kuingiza katika meli za tanker zitakazokuwa zinaegesha kule baharini bila ya sisi kujua.
Baadhi ya vigo hawa ni bado wako serikalini na majina yao yaweza kujulikana wakati wowote na bila shaka wanahaha.
Hakika serikali imebanwa mbavu hapa. Jee safari hii watamuuwa nani?