Sakata la CAG: Viongozi wa Kiislamu wasema Spika ana ajenda ya siri

Ufisadi wote unawekwa wazi na fedha zinajulikana zimetoka wapi zimekwenda wapi/kwanani, lakini CAG mwenyewe alipoulizwa akiwa Ikulu alishindwa kusema fedha zimekwenda wapi. Hii inakufundisha nini?
Inatufundisha ccm ni majizi tu.
 
Hawa sasa, ni udini siyo tena analytical mind! Sheikh na CAG na Spika wapi na wapi? Hawa wapambane na yao huko misikitini na makanisani. Mbona hawakumtetea Sheikh mkuu wa Dar wakati anapakazwa na Kimambi? Iweje huyu mwajiliwa wa serikali?
Wewe ni mtoto wa Ndugai? Hii lugha aliyoitumia kumuita Assad Mbwa, itamgharimu.
 
Hii ni thread ya mwaka 2014 kutoja kwa Joka kuu.
JamiiForums

search.png

mm.png


close.png




Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali
TagsNone

Prev
MODERATIONUNWATCH
•••
J
JokaKuu
Platinum Member

Dec 11, 2014
Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa.

Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Anadai watu wanaendekeza faida binafsi ktk maamuzi yao wakiwa madarakani.

Amekwenda mbali na kusema ule mradi wa MAGUFULI wa kuuza NYUMBA ZA SERIKALI ni mfano wa "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Kwa kweli Professor atakaporudi nyumbani anapaswa at least aseme kuwa alinukuliwa vibaya, hata kama kuna ushahidi wa sauti yake.

Mahojiano yake yapo hapa chini, lakini specifically unaweza kuanzia dakika ya 6.

Audio: https://news.un.org/sw/sites/news.un.org.sw/files/audio/2014/12/02mahojianoassadbodi.mp3

Kwa kirefu: Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad | Idhaa ya Redio ya UM
 


Wakati sakata la spika na CAG likichukua sura mpya,viongozi wa dini nao hawapo nyuma kukemea.

Viongozi wa dini ya kiislamu wameonyesha kuudhika na mwenendo wa spika na kutilia mashaka kwamba upo uwekezekano Spika akawa na ajenda binafsi kwa CAG Mussa Assad.

Kiongozi huyo amesema iko wazi kabisa sisi binadamu tuna madhaifu na mapungufu. Ni Mungu pekee asiye na mapungufu. Sasa iweje Spika ajione kwamba bunge lake halina udhaifu na kujifananisha na Mungu.

Naandika Nafuta,naandika nafuta. Ngoja nimwachie Mungu
 
Mkulu alikuwa anasikilizia upepo unakoelekea ..... Sasa kwa kuwa amejua ni wapi unakoelekea ni obvious anamwachia Ndugai Zigo lake ingawa ni yeye ndiye aliyembebesha nyuma ya pazia!!
 
Mkulu alikuwa anasikilizia upepo unakoelekea ..... Sasa kwa kuwa amejua ni wapi unakoelekea ni obvious anamwachia Ndugai Zigo lake ingawa ni yeye ndiye aliyembebesha nyuma ya pazia!!
JamiiForums

search.png

mm.png


close.png




Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali
TagsNone

Prev
MODERATIONUNWATCH
•••
J
JokaKuu
Platinum Member

Dec 11, 2014
Huyu bwana hajamaliza hata mwezi kazini tayari anashambulia wanasiasa.

Prof.Assad amehojiwa na idhaa ya Kiswahili ya UN, na kutoa madai kwamba Tanzania kuna tatizo la "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Anadai watu wanaendekeza faida binafsi ktk maamuzi yao wakiwa madarakani.

Amekwenda mbali na kusema ule mradi wa MAGUFULI wa kuuza NYUMBA ZA SERIKALI ni mfano wa "POLITICAL ENTREPRENEURSHIP."

Kwa kweli Professor atakaporudi nyumbani anapaswa at least aseme kuwa alinukuliwa vibaya, hata kama kuna ushahidi wa sauti yake.

Mahojiano yake yapo hapa chini, lakini specifically unaweza kuanzia dakika ya 6.

Audio: https://news.un.org/sw/sites/news.un.org.sw/files/audio/2014/12/02mahojianoassadbodi.mp3

Kwa kirefu: Tutatekeleza majukumu kukidhi matarajio: Profesa Assad | Idhaa ya Redio ya UM
 


Wakati sakata la spika na CAG likichukua sura mpya,viongozi wa dini nao hawapo nyuma kukemea.

Viongozi wa dini ya kiislamu wameonyesha kuudhika na mwenendo wa spika na kutilia mashaka kwamba upo uwekezekano Spika akawa na ajenda binafsi kwa CAG Mussa Assad.

Kiongozi huyo amesema iko wazi kabisa sisi binadamu tuna madhaifu na mapungufu. Ni Mungu pekee asiye na mapungufu. Sasa iweje Spika ajione kwamba bunge lake halina udhaifu na kujifananisha na Mungu.

Kwani hao viongozi wa dini walikua hawajui kua nchi iko chini ya kanisa katoliki hivyo waislam smart kama Assad lazima watafutiwe zengwe, wanaachwa tu wale waislam wakatoliki kama boss wa bakwata wa mkoa.
 
Mimi naona Spika kwenye hili hayupo peke yake,Mkuu baba mwenye nyumba yupo na Spika(ukiona kifaranga kipo juu ya mtungi ujue mama yake yupo hapo chini)Spika katumwa na tatizo la Prof Assad ni kuibua matumizi yasiyofuata kanuni na taratibu kwa mujibu wa sheria(PPRA).Bunge ni muhimili na CAG ni taasisi ya serikali,Rais kama mkuu wa serikali alipaswa kuwa na CAG,Wako wapi mawaziri ?Nao kama wakilishi wa Muhimili nao wanagoma kufanya kazi na Pro ???.Ndugai anasema Assad anampa wakati mgumu rais !!ni kwa Kuibua yasiyoyapenda? au ?.Wito tusimame na CAG yeye yupo kwa kusimamia kodi zetu,ingawaje hatuna cha kuwafanya ila angalau tunajua jinsi wanavyozitumia kodi zetu,Bunge limebaki kuwa raba stempu kualalisha ufisadi........MUNGU MJALIE AFYA NJEMA,UJASIRI NA HEKIMA CAG
Na kweli hakuna cha kuwafanya
Ndio maana wanafanya wanavyotaka


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Huyo shekhe ni Mnafiki, Nchi ina matatizo mengi watu wamepotezwa, kupigwa risasi kwa mh.Lissu hili la pro. Assad kwao ni tatizo kuliko yote yaliyo tokea. Siku zote walikuwa wapi?
Kila jambo lina wakati wake
Kila mtu ana wajibu wake wa kuongelea au kutetea jambo
Mengi yatakuja baada ya hili na litaongelewa na atakaeguswa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kuliko kuiingiza nchi kwenye mzozo wa ndani ni bora Bunge kupiga kura ya kutokua na imani nae. Mimi nilitegemea Ndugai angetulia na kutafakari, lakini kinyume chake analeta mipasho kwenye amani ya nchi.serikali inatumia gharama kubwa kulinda amani. Yeye hajui gharama hizo na zile za matibabu yake ambayo yote ni juu ya serikali, na ambazo ni hela ya walipa kodi Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom