Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,171
- 3,359
Katika msimu huu wa 2022/2023 kuna klabu zimesajili wachezaji kwa gharama kubwa na wameshindwa kuonesha thamani yao halisi uwanjani lakini magazetini, mitandaoni na wanazi wa vilabu vyao wamekua wakiwapamba sana
1. Shinobu Sakai - Geita gold fc
2. Nelson Okwa - Simba Sc
3. Victor Akpan - Simba Sc
4. Ahmada - Azam Fc
5. Tapedinho - Azam Fc
6. Twisila Kisinda - Yanga
7. Bigirimana - Yanga
8. Augustine Okrah - Simba Sc
9. Ndoye - Azam Fc
10. James Kotei - Mtibwa
11. Shikalo - Mtibwa
12. Ismael Sawadogo - Simba Sc
13. Kambole - Yanga
Ongeza zako
NB: Simba bado haina kiungo mkabaji, Sawadogo, Mzamiru na Kanoute wanacheza mpira wa kufanana (kupenda kushambulia zaidi kuliko kulinda) hakuna mchezaji anayelinda backline.
1. Shinobu Sakai - Geita gold fc
2. Nelson Okwa - Simba Sc
3. Victor Akpan - Simba Sc
4. Ahmada - Azam Fc
5. Tapedinho - Azam Fc
6. Twisila Kisinda - Yanga
7. Bigirimana - Yanga
8. Augustine Okrah - Simba Sc
9. Ndoye - Azam Fc
10. James Kotei - Mtibwa
11. Shikalo - Mtibwa
12. Ismael Sawadogo - Simba Sc
13. Kambole - Yanga
Ongeza zako
NB: Simba bado haina kiungo mkabaji, Sawadogo, Mzamiru na Kanoute wanacheza mpira wa kufanana (kupenda kushambulia zaidi kuliko kulinda) hakuna mchezaji anayelinda backline.