Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Wadau wa JF sasa tunaona matunda ya safari za JK huko majuu.
Bush aliingia bongo , Rais wa kwanza wa Marekani kufanya hivyo katika historia ya Tanzania, na kamwaga mabilioni($700milion).Tukapata free media exposure ikiwa ni pamoja na Bush kumbusu yule bibie mmasai mrefu sana.
Hapa karibuni ameingia mwanaume Hu Jintao wa China.
Mara ya mwisho kiongozi mkuu kabisa wa China kufika hapa Tanzania ni Chou En Lai, mwaka 1965, wengine tukiwa watoto bado tulishuhudia pale uwanja wa Taifa.
Hu akamwaga pochi la $20milioni.
Sasa anaingia worlds Diplomat no 1, Ban Ki Moon, exposure zaidi itaingia na wakuu wetu wa itifaki watapata kauzoefu wa ku rub shoulders na wakubwa ikiwa ni pamoja na pengine miradi kwa ajili ya nchi.
Mwaonaje wakuu, si poa?
Tembea na wewe utembelewe, imekaaje hii wadau?
Bush aliingia bongo , Rais wa kwanza wa Marekani kufanya hivyo katika historia ya Tanzania, na kamwaga mabilioni($700milion).Tukapata free media exposure ikiwa ni pamoja na Bush kumbusu yule bibie mmasai mrefu sana.
Hapa karibuni ameingia mwanaume Hu Jintao wa China.
Mara ya mwisho kiongozi mkuu kabisa wa China kufika hapa Tanzania ni Chou En Lai, mwaka 1965, wengine tukiwa watoto bado tulishuhudia pale uwanja wa Taifa.
Hu akamwaga pochi la $20milioni.
Sasa anaingia worlds Diplomat no 1, Ban Ki Moon, exposure zaidi itaingia na wakuu wetu wa itifaki watapata kauzoefu wa ku rub shoulders na wakubwa ikiwa ni pamoja na pengine miradi kwa ajili ya nchi.
Mwaonaje wakuu, si poa?
Tembea na wewe utembelewe, imekaaje hii wadau?