Pongezi za dhati kwa Dr.MENGI kwa kujikita katika kusaidia jamii bila ubaguzi wa kidini,kisiasa,kikabila na kikanda ndiyo maana leo hii unatambuliwa na asasi mbalmbali za kimataifa na kupewa tunzo stahiki kwa mchango wako.
Napenda ndugu SABODO aige mfano huo kama kweli anamapenzi ya dhati katika kutoa misaada yake kwa CHADEMA, pia na wafanyabiashara wengine watoe misaada yenye tija kwa jamii badala yakutaka kusifiwa tu na vyombo vya habari na kutajwa tajwa ovyo kwenye miziki ya dansi a.k.a SIFA za KIJINGA.
Napenda ndugu SABODO aige mfano huo kama kweli anamapenzi ya dhati katika kutoa misaada yake kwa CHADEMA, pia na wafanyabiashara wengine watoe misaada yenye tija kwa jamii badala yakutaka kusifiwa tu na vyombo vya habari na kutajwa tajwa ovyo kwenye miziki ya dansi a.k.a SIFA za KIJINGA.