Sababu za kulipuka mabomu haziridhishi...

Jeshi linaongozwa na washikaji wa Kikwete ambaye amechagua wasani wenzake sasa ndio tunaonyeshwa usanii wa hali ya juu. Ntamani kulia nchi ilivyotekwa na Mafisadi:mad:

Mabomu hayakulipuka Kwa sababu za usanii wa mtu au ushikaji Kwa sababu zifuatazo
(1) mabomu huwa yana expiry date.inawezekana mengi yalikuwa yame expire
(2) Mabomu yaliyo expire Kama hayakupata usumbufu Wa aina yeyote nimedokezwa kuwa hayalipuki unless kutokee catalyst kama moto. Hivyo kuna uwezekano kuwa shoti ya umeme imetokea ikazua moto na ndipo chain reaction ikaendelea.
(3) jeshi Kama taasisi inayo take stock ya silaha zake inapashwa kuwa inajua mabomu na makombora ualiyo expire na kuyateketeza
(4) kuteketeza mabomu na makombora kuna gharama zake ambazo zinapashwa ziwe kwenye bajeti
(5) Kwa sababu ni tukio la pili katika kipindi cha chini ya miaka miwili na katika Jiji moja naelekea kuamini kuwa kulikuwa na uzembe wa hali ya juu katika ngazi za utekelezaji kwamba hiyo item aidha haikuwekewa bajeti au ilikuwa katika bajeti lakini vitu vingine vilaonekana kuwa muhimu zaidi Kwa anayeamua sasa pesa hii itumike hivi.hiyo tume itujuze.
 
basi tuachane na sudan vipi kuhusu bamako Mali au vipi kuhusu ugiriki,russia ambapo kunakuwa na extremely high tempereture.huku utasikia joto linasababisha msitu kuungua na sio mabomu kulipuka.
Sioni ubaya au aibu wakikubali hawana utaalamu na waombe msaada,isitoshe naamini nchi zote duniani zinapeana utaalamu na wataalamu wa mambo ya kivita.
Kila taaluma(profession) ina ugumu wake sio jeshi tu.mkuu kama unadhani JKT yetu ya kipindi kile itatusaidia katika ulimwengu wa huu wa science na technology basi ujue umepotoka.
Nitatoa support kwa jeshi letu sio kwa kuandika tu bali kuvaa magwanda wakati wa vita LAKINI siwezi kusupport uzembe uliotokea mbagala na G.mboto.I'M SERIOUS!!

nakubaliana.na.wewe kwa baadhi ya issues lakini conclusion ya kwamba ni uzembe I beg to differ for the time being mpaka wachunguzi watakapotoa taarifa za kichunguzi. la kukumbuka ni kwamba JKT was meant to be dynamic in nature na ndio maana greece, israel na kwingineko ni hot cake kwa kuwa innovation.za young minds zinakuwa exploited. Kama unaitizama JKT kwa mtizamo wa miaka ile basi u are probably on the wrong side of the world.
 
my friend keeping the high sprit of the military is to support them not blame them. sina uhakika kama unajua ugumu ujeshi!
my friend sijapita JKT lakini ninafahamu ugumu wa JWTZ,kuna taarifa kwamba wanajeshi wetu wanakatwa mshahara wao ili kulipia magwanda(military attires)
sasa jiulize ni kipi kinachopunguza morale kati ya 'blame' ya jackbauer au hiki kinachowapata.TAFAKARI.
 
Thanks for a very good thread,putting the blames to the government why are we isolating sabotage reasons maybe by terrorists agents in the army ?just thinking aloud!
 
nakubaliana.na.wewe kwa baadhi ya issues lakini conclusion ya kwamba ni uzembe I beg to differ for the time being mpaka wachunguzi watakapotoa taarifa za kichunguzi. la kukumbuka ni kwamba JKT was meant to be dynamic in nature na ndio maana greece, israel na kwingineko ni hot cake kwa kuwa innovation.za young minds zinakuwa exploited. Kama unaitizama JKT kwa mtizamo wa miaka ile basi u are probably on the wrong side of the world.

nachukulia ni uzembe au kukosa weledi kwa kuwa hatukujifunza kutokana na milipuko iliyopita,G.MBOTO(2005)MBAGALA(2009) na G.mboto(2011)
kuhusu JKT kuwa dynamic mh!! It is the same old story kama tunavyosikia kaulimbiu ya kilimo ni uti wa mgongo ikija katika version tofauti.
Nchi hii ina mikakati mingi lakini je inatekelezwa?turudi kwenye maswali ya msingi(milipuko) hapo juu tafadhali.
 
Tofauti kati ya ajali ya mbagala na ya gongo la mboto kama nilivyomwelewa shimbo si ya kilichosababisha milipuko bali hali ilivyokuwa wakati tukio matukio yalivyotokea. Yale yalikua mchana haya ni uksiku, yale kulikua na shughuli za kijeshi zilikua zinaendelea (huenda walikua wanayapanga au wanapakua mzigo) lakini hii ya sasa kulikua hakuna shughuli yoyote iliyokua inaendelea.

Kwa kumalizia ni kuwa mpaka sasa hatujaambiwa kilichosababisha mabomu kulipuka (explosive catalyst) mbagala na gongo la mboto . Naungana na Prof. Lipumba kuwa iundwe tume huru ya kuchunguza ajali hizo ila tu kuwe na mipaka maalumu au kuwe na uangalifu mkubwa kwa tume hiyo isijeingiliwa na maadui (hii ni kwa usalama wa nchi yetu).

Mkuu umeghusia points nzuri hasa kwenye kulihusisha hili janga na mambo ya kisiasa. Lakini kama ripoti ya janga la Mbagala hatuioni kweli kuna haja ya kuanzisha tena tume nyingine kwa ajili ya Gongo La Mboto? Mpaka sasa bado hatuelewi what exactly caused Mbagala incident. How can one guarantee that we will get an accurate report for Gongo la Mboto incident?

Yale ya Mbagala yalilipuka mchana, Gongo la Mboto usiku lakini sababu za kulipuka zinaweza kuwa the same. Pia whether or not kulikuwa au hakukuwa na shughuli yoyote iliyokua inaendelea it may not change the cause of the incidents that much. Ushahidi wa kimazingira unaweza kuonyesha wazi kuwa the two incidents are actually related. Sidhani Mtanzania wa sasa anaweza kudanganywa kuwa sababu za kulipuka kwa mabomu Mbagala na Gongo la Mboto ni tofauti. Haiji akilini kabisa.

Mpaka sasa hatujaambiwa kilichosababisha mabomu kulipuka Mbagala na Gongo la Mboto and there is a possibility that we will never know the actual cause for the two incidents.
 
nakubaliana.na.wewe kwa baadhi ya issues lakini conclusion ya kwamba ni uzembe I beg to differ for the time being mpaka wachunguzi watakapotoa taarifa za kichunguzi. la kukumbuka ni kwamba JKT was meant to be dynamic in nature na ndio maana greece, israel na kwingineko ni hot cake kwa kuwa innovation.za young minds zinakuwa exploited. Kama unaitizama JKT kwa mtizamo wa miaka ile basi u are probably on the wrong side of the world.

Mkuu hili tatizo limeshatokea mara tatu within a very short na bado unarule out uzembe? Kama unasubiri mpaka wachunguzi watakapotoa taarifa za kichunguzi, then don't rule out uzembe. Otherwise, utakuwa huna tofauti na huyo mdau aliyerule in uzembe. Kwa hiyo so far bado unasubiri wachunguzi wa yale mabomu ya Mbagala watoe taarifa zao za kichunguzi? Because mpaka sasa hatujaona taarifa. Na kama hali yenyewe ndio hivi kunawezatokea mlipuko mwingine tukiwa bado tunasubiri taarifa za kichunguzi za milipuko wa mabomu Gongo la Mboto.

But I think watakuwa ni watu wachache sana ambao they haven't made up their minds yet and are still waiting for the so called taarifa za kichunguzi. Watanzania wa siku hizi sio wale wa enzi zile. Usione watu wako kimya ukafikiri they havent made up their minds. Never underestimate the determination of a quite man.
 
Ina maana kama ni joto tutegemee milipuko mingine tena maana huko dar joto linaongezeka kila siku.
Akili zao hazina akili.
 
Back
Top Bottom