Sababu ya wapenzi wapya kufurahiana na kuongea sana ni kwa kuwa hamjuani sana, mkishazoena na kujuana basi stori zinaisha.

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
14,989
28,126
Isa wikendi, yeesi iliiiiziiii.

Hii saikolojia iliyothibitishwa.
Kitu chochote ukishakijua sana huendelei kukidadisi, unakuwa unajua ukianza hivi kitatokea hivi ama vile.

Hata kwa wapenzi ni hivyo hivyo, hakuna tofauti ya kweli kivile.

Wengine huenda mbali zaidi kiasi cha kuwachukia wenzi wao wa sasa, na kudhani kuwa hawaendani tena..... ama hawawafai kisa tu huyu mpya ni vibe kama lote.

Ni suala la muda tu, hata huyu mpya mkishakuwa mmejuana sana stori zinapungua kama sio kuisha kabisa.

Je, mnaoshauri wapenzi waimarishe mawasiliano kila wakati mnataka waongee nini?

Binafsi nashauri wapenzi wapya kutokuongea sana tangu mwanzo wa mahusiano yao, hii itapunguza kuja kuonekana penzi linaelekea kufa ikifikia stori zimeisha.

Niwatakie wikendi njema.
 
Marry / Date best friend wako hamtachokana hata baada ya kuzoeana na story hazitaisha, Baby dady wangu tulikuwa tunapiga sana story hadi umbea wa mashosti zangu namsimulia. Nilikuwa natamani atoke haraka kazini na Mimi chuo ili kumsimulia yaliyojiri. Miaka 5 imepita since tumebreak up na still kuna ile bond ya story kati yetu. Nikiwa na umbea wa mtu tunayemfahamu natamani kumpigia simu kumsimulia.
 
Mbwembwe za penzi jipya huwa zinafurahisha sana. Kuna ke nilikuwa nae kwenye mahusiano nikaona upepo umechange nikamuuliza kulikoni? Akaomba tukutane, tumekutana akaanza matambo kuwa kapata tulizo la moyo wanaongea usiku kwa mda mrefu, nakumbuka nilimwambia hata sisi tulikuwa hivyo penzi likiwa jipya ila saivi kiko wapi? Akunijibu, nikamwambia kila la heri kwenye safari yako uliyoianza, akajibu kwa nyodo sihitaji baraka zako futa namba zangu na usinitafute au nipe nifute mwenyewe, nikampa akafuta, mimi poa nikalipia tulivyokula(yule mhudumu nahisi aliyasikia maongezi yetu hakuwa mbali na tulipokuwa tumekaa), nikatoka nae hadi nje nkamlipia boda akaondoka zake. Alivyoondoka nikablock namba zake zote, leo mchana naona namba ngeni inaingia kupokea ni yeye (in T I D VOICE)
Yeye:halo mambo
Mimi: poa habari
Yeye: salama nimekumisi
Mimi: We nani namba ngeni.
Yeye: upo wapi nmekumisi?
Mimi: Nani wewe?
Yeye: ina maana hii sauti huijui?
Mimi: Hapana jitambulishe
Yeye: Mimi fulani mbona umeniblock n mda nakutafuta sikupati kwa namba zangu?
Mimi: Dada sikufahamu huenda umekosea namba.
Yeye: Kweli Half Americano unifahamu mimi?
Mimi: sikufahamu
Yeye: kama n kweli kata simu
Mimi:📵
 
Mbwembwe za penzi jipya huwa zinafurahisha sana. Kuna ke nilikuwa nae kwenye mahusiano nikaona upepo umechange nikamuuliza kulikoni? Akaomba tukutane, tumekutana akaanza matambo kuwa kapata tulizo la moyo wanaongea usiku kwa mda mrefu, nakumbuka nilimwambia hata sisi tulikuwa hivyo penzi likiwa jipya ila saivi kiko wapi? Akunijibu, nikamwambia kila la heri kwenye safari yako uliyoianza, akajibu kwa nyodo sihitaji baraka zako futa namba zangu na usinitafute au nipe nifute mwenyewe, nikampa akafuta, mimi poa nikalipia tulivyokula(yule mhudumu nahisi aliyasikia maongezi yetu hakuwa mbali na tulipokuwa tumekaa), nikatoka nae hadi nje nkamlipia boda akaondoka zake. Alivyoondoka nikablock namba zake zote, leo mchana naona namba ngeni inaingia kupokea ni yeye (in T I D VOICE)
Yeye:halo mambo
Mimi: poa habari
Yeye: salama nimekumisi
Mimi: We nani namba ngeni.
Yeye: upo wapi nmekumisi?
Mimi: Nani wewe?
Half American kweny 1&2
 
Mbwembwe za penzi jipya huwa zinafurahisha sana. Kuna ke nilikuwa nae kwenye mahusiano nikaona upepo umechange nikamuuliza kulikoni? Akaomba tukutane, tumekutana akaanza matambo kuwa kapata tulizo la moyo wanaongea usiku kwa mda mrefu, nakumbuka nilimwambia hata sisi tulikuwa hivyo penzi likiwa jipya ila saivi kiko wapi? Akunijibu, nikamwambia kila la heri kwenye safari yako uliyoianza, akajibu kwa nyodo sihitaji baraka zako futa namba zangu na usinitafute au nipe nifute mwenyewe, nikampa akafuta, mimi poa nikalipia tulivyokula(yule mhudumu nahisi aliyasikia maongezi yetu hakuwa mbali na tulipokuwa tumekaa), nikatoka nae hadi nje nkamlipia boda akaondoka zake. Alivyoondoka nikablock namba zake zote, leo mchana naona namba ngeni inaingia kupokea ni yeye (in T I D VOICE)
Yeye:halo mambo
Mimi: poa habari
Yeye: salama nimekumisi
Mimi: We nani namba ngeni.
Yeye: upo wapi nmekumisi?
Mimi: Nani wewe?
Yeye: ina maana hii sauti huijui?
Mimi: Hapana jitambulishe
Yeye: Mimi fulani mbona umeniblock n mda nakutafuta sikupati kwa namba zangu?
Mimi: Dada sikufahamu huenda umekosea namba.
Yeye: Kweli Half Americano unifahamu mimi?
Mimi: sikufahamu
Yeye: kama n kweli kata simu
Mimi:📵
😂😂😂
 
Nature tu ya mapenzi ndio ilivyo, huwa inaumiza sana mtu usiku kucha mnachati na kupigiana video call uchi uchi kesho na keshokutwa mnakaa wiki hata salamu hakuna
😝😝😝😝 mnajikinai au ina maana binadam anapenda vitu vipya sana
 
Sisi tunapiga mno story aisee ila kuna siku chache kunakuwa hakuna story ni kawaida
 
Sio kweli mimi na mwenzangu mwanzo wa kufahamiana haukuwa na maongezi mengi ila nowdays ni miaka 4 mbele story km tumekutana hii wk before alishawahi kunilaumu namminyia sna muda wngu ila huu wakat mpk nijihisi kuwa mtumwa kwke uzuri mzani umebalance
 
Back
Top Bottom