Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,989
- 28,126
Isa wikendi, yeesi iliiiiziiii.
Hii saikolojia iliyothibitishwa.
Kitu chochote ukishakijua sana huendelei kukidadisi, unakuwa unajua ukianza hivi kitatokea hivi ama vile.
Hata kwa wapenzi ni hivyo hivyo, hakuna tofauti ya kweli kivile.
Wengine huenda mbali zaidi kiasi cha kuwachukia wenzi wao wa sasa, na kudhani kuwa hawaendani tena..... ama hawawafai kisa tu huyu mpya ni vibe kama lote.
Ni suala la muda tu, hata huyu mpya mkishakuwa mmejuana sana stori zinapungua kama sio kuisha kabisa.
Je, mnaoshauri wapenzi waimarishe mawasiliano kila wakati mnataka waongee nini?
Binafsi nashauri wapenzi wapya kutokuongea sana tangu mwanzo wa mahusiano yao, hii itapunguza kuja kuonekana penzi linaelekea kufa ikifikia stori zimeisha.
Niwatakie wikendi njema.
Hii saikolojia iliyothibitishwa.
Kitu chochote ukishakijua sana huendelei kukidadisi, unakuwa unajua ukianza hivi kitatokea hivi ama vile.
Hata kwa wapenzi ni hivyo hivyo, hakuna tofauti ya kweli kivile.
Wengine huenda mbali zaidi kiasi cha kuwachukia wenzi wao wa sasa, na kudhani kuwa hawaendani tena..... ama hawawafai kisa tu huyu mpya ni vibe kama lote.
Ni suala la muda tu, hata huyu mpya mkishakuwa mmejuana sana stori zinapungua kama sio kuisha kabisa.
Je, mnaoshauri wapenzi waimarishe mawasiliano kila wakati mnataka waongee nini?
Binafsi nashauri wapenzi wapya kutokuongea sana tangu mwanzo wa mahusiano yao, hii itapunguza kuja kuonekana penzi linaelekea kufa ikifikia stori zimeisha.
Niwatakie wikendi njema.