ha ha haaa,kweli? it's you my friend???Wanaume ukiwa na pesa mpe ale, avae, asuke aishi vizuri anavyotaka. Acheni ubaili, mkiwa hamna pesa mnachonga saaaaaana kama huna pesa za kumpa ili aishi vizuri na ale vizuri pita hivi huna lolote
The same useless penis ndo imekuleta dunianiunawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
Mtoto uliyembeba tumboni kwako miezi 9 ana raha yake mama,ndo mana Angelina jolie ameadopt lkn ana wa kwake wa 3 og,ni ngumu kumkimbia mwanaume,hapo ulipo una chromosome 23 za mwanaumewala sirekebishi mkuu,nimeona wadada waki adopt watoto yatima kutoka vituoni.
You came from the testes through that useless penis of the one you call father !!unawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
You speak well, men work as metal and women as non metal.-mie nilijua ni wanawake wachache,ila kwa mtazamo wa michango ya wanaume kwenye hii thread,inaelekea labda wanawake ndio tulivyo,ndio nature hivooooo hahahhahah don't work against nature lol,mbona there is considerable debate kuwa wanaume wameumbwa kuwa na wanawake wengi,na sisi ndiio hivyo.lol
Kipofu hawezi muongoza kipofu mwenzake
Uko wapi mbina huonekaniha ha haaa,kweli? it's you my friend???
sionekan wapi tena kaka?Uko wapi mbina huonekani
Miss, hawa wana wa kiume wamekufanyia nini maana naogopa usije ukawa umekutana na wavulana ukadhani wanaume. Anyway pole sana.unawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
hahaha mkuu umenifurahisha sana ,ww ni baba yake anapasa kukuamkia,,,mimi ni mzee, mimi ni baba yako kabisa unapaswa kuniamkia, maana naelekea miaka hamsini!
.com imetokea juzi naiona.
zamani wanawake waliridhika na mtu mwenye msimamo, asiyeyumbishwa! siyo mwwnye hela!
halafu mwanamke hata kama hakusoma, akiingi katika mji ma mawazo mazuri ya kushauliana na mumuwe, anamiliki tu hela mbona?
Mwanamke anayefaa kuwa nae ama kuoa ni yule asiye na kipato,
Mwanamke mwenye kipato ni mwenye tamaa nyingi kupindukia,
Akiwa mfanyabiashara ndo hatari zaidi.
Hongera kwa Ku be ze first to replyunawaza wanaume miaka hii?
unawaza wanaume miaka hii? to hell with their useless penis!
Labda alikutana na minyani dumeMiss, hawa wana wa kiume wamekufanyia nini maana naogopa usije ukawa umekutana na wavulana ukadhani wanaume. Anyway pole sana.
Inaonekana huwa mnafanya biashara kupitia papuchi zenu. Siku hizi ndivo mulivo. Kupenda pesa sana kutawafanya nyeti zenu ziumie zaidi. Ndo maana mmeona papuchi haitoshi ikabidi muwape na Tigo ili dau liwe kubwa. Akili za mwanamke zimejaa makamasi tupu
Wanawake mnapenda hela na Wanaume tunapenda papuchi.Hello JF,
Kuna imani kuwa baadhi yetu wanawake tunapenda pesa na hatuna mapenzi ya kweli, leo nimeona mahali, ufafanuzi wake, lol. Ni kwamba as a society, tumeweka tabaka wanawake wabaki nyumbani kutunza familia.
Hii hali imefanya wanawake wawe tegemezi, wasio na hela wala power, so katika kujenga familia tunatafuta security! Mtu mwenye hela na power ndio anaonekana anafaa kuwa naye.
*** Hii haiwahusu wadada wa JF