Sababu 31 kwanini Magufuli hawezi kuwa rais wa Tanzania

Mkuu wapenzi na wanachama wa CCM wanaomuunga mkono Simbachawene na Mawe Matatu wameapa kutompigia Magufuli Mpenda sifa huku anawadhalilisha mawaziri wenzie ...
Kwa mipangilio mibovu ya kampen na kuto kukubalika kwa ccm kwa watanzania, Hakika maguli hawez kuwa rais wa Jmt yan ni jambo gumu sana, kifupi haiwezeka coz hakubaliki kabsa kwa watanzania namuonea huruma sana, na akipata kura milion 3 ntahama jiji
 
Nadhani unaishi katika duni yako na si hii ya wote!
Kiukweli Ukawa mmechemka na kuangusha wanamageuzi wakweli. Na hii ni kama laana maana mmeamua kukaa meza moja na Shetani na kula naye na kunajisi harakati!
Lowassa hawezi kuwa kiongozi wa mabadiliko wakati alikiri eti walishapanga na JK wapokezane urais!

ccm ndo hamtakiwi huo ndo ukweli, mashetan ni nyhe maccm mnaoua watu kwa kukosa dawa mahospitaln, wiz wa mali za umma nk, nakwambia Hawez fika Idad ya kura hizo
 
Kwa mipangilio mibovu ya kampeni na kuto kukubalika kwa CCM kwa watanzania, Hakika maguli hawez kuwa rais wa JJMT yani ni jambo gumu sana, kifupi haiwezeka coz hakubaliki kabsa kwa watanzania namuonea huruma sana, na akipata kura milion 3 nitahama jiji.
Tafuta usafiri mapema kuhama Jiji, mtakuwa wengi sana.
 
Kwa mipangilio mibovu ya kampeni na kuto kukubalika kwa CCM kwa watanzania, Hakika maguli hawez kuwa rais wa JJMT yani ni jambo gumu sana, kifupi haiwezeka coz hakubaliki kabsa kwa watanzania namuonea huruma sana, na akipata kura milion 3 nitahama jiji.

Jiji lipi utahama???
 
Kwa mipangilio mibovu ya kampeni na kuto kukubalika kwa CCM kwa watanzania, Hakika maguli hawez kuwa rais wa JJMT yani ni jambo gumu sana, kifupi haiwezeka coz hakubaliki kabsa kwa watanzania namuonea huruma sana, na akipata kura milion 3 nitahama jiji.

Wewe una impact ipi kwenye "jiji" hata iwe mwao?
 
Kama kweli unaishi jijini inawezekana maisha yamekushinda unatafuta kisingizio cha kuhama wewe Kama maisha magumu si uhame tuuu!!!
 
Kwa mipangilio mibovu ya kampeni na kuto kukubalika kwa CCM kwa watanzania, Hakika maguli hawez kuwa rais wa JJMT yani ni jambo gumu sana, kifupi haiwezeka coz hakubaliki kabsa kwa watanzania namuonea huruma sana, na akipata kura milion 3 nitahama jiji.

Milion 3? mbona nyingi, unajua kabisa hafikishi mbona usiseme laki 3 ukahama jiji. Mimi nasema akifikisha milion 2.5 nahama nchi. Hapa kazi tu, tutazifanya barabara ziwe za reli

View attachment 295481

 
Kwa mipangilio mibovu ya kampeni na kuto kukubalika kwa CCM kwa watanzania, Hakika maguli hawez kuwa rais wa JJMT yani ni jambo gumu sana, kifupi haiwezeka coz hakubaliki kabsa kwa watanzania namuonea huruma sana, na akipata kura milion 3 nitahama jiji.

Wema Sepetu kawa bora kuliko Prof. Mwandosya na Pinda...
 
Mimi nitaenda kwetu Ethiopia kwakweli,Tanzania haitokuwa sehemu salama kwangu kuishi.
Siwezi kuishi na mapopoma yasiyoona madhila yote haya ya CCM!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom