DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,555
- 99,409
Imekaaje hii?
Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
HAIINGII AKILINI KABISA
Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
- Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
- Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
- Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
HAIINGII AKILINI KABISA