Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zenye watoto wa miaka 4

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,555
99,409
Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

1646049624191.png
 
Wenzetu Ulaya wana shule bora kuanzia level ya Kata.

Huku kwetu badala wazazi mji commit muboreshe mazingira ya shule zilizo jirani na makazi mnakimbilia kujaza ma bus ya watoto kuwasafirisha makilometa ya umbali bila sababu ya msingi.

Mtoto anakaa Chanika anasoma Olympio! Wa mbagala nae unalazimisha asome Olympio. Unategemea ataamshwa saa ngapi kupanda school bus?
 
Wenzetu Ulaya wana shule bora kuanzia level ya Kata.

Huku kwetu badala wazazi mji commit muboreshe mazingira ya shule zilizo jirani na makazi mnakimbilia kujaza ma bus ya watoto kuwasafirisha makilometa ya umbali bila sababu ya msingi.

Mtoto anakaa Chanika anasoma Olympio! Unategemea ataamshwa saa ngapi kupanda school bus?
Tunataka na watoto wetu wasome mazingira magumu kwa kisingizio cha wajue umuhimu wa elimu in a hard way
 
Imekaaje hii

Saa 11:20 alfajiri Unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni.

Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,

-Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
-Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
-Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?

Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote Ni wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA
Mie naona hawa watu wa haki za binadamu hawafanyi kazi yao. Wamekalia ushoga baadala ya kuwatetea wototo. Sasa mtoto wa miaka minne saa kumi na moja anaenda shule kufanya nini? Kuwatesa tuu watoto.
 
Back
Top Bottom