Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Wakuu mkitaka kujua ni jinsi gani Tanzania tulivyohopless angalia Rwanda. Wameweza kununua ndege mbili mpya katika miaka 15, lakini sisi mpaka leo tunatumia Boeing zilizochoka kweli, ambazo zipo toka enziya mkoloni na shirika limefirisika.
Kila siku nasema ukitaka kuangalia how hopeless we are, just look at Rwanda. Sasa i am begining to worry kuwa tumefika pabaya kupita kiasi, no doubt tuko pabaya.
Pekua IPP usome habari zaidi.
Kila siku nasema ukitaka kuangalia how hopeless we are, just look at Rwanda. Sasa i am begining to worry kuwa tumefika pabaya kupita kiasi, no doubt tuko pabaya.
Pekua IPP usome habari zaidi.