Rwanda Haoo, Tanzania tumebaki na Propaganda Midomoni

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
kweli hii ni nchi ya mfano na Viongozi wake wana nia ya dhati ktk kuiendeleza nchi yao Kiuchumi,kijamii na kielimu pia,wakati hapa Tanzania sisi tumebaki kuwa ni watu wa kupanga vyema sana lakini vitendo hakuna

Tupo ktk kukomoana kwanini hukunipigia kura,kwanini sikuteuliwa,nani kakutuma utangaze nia,kutafuta mizukule,kurogana na mambo meeeeeeeeeeeeeengi

4683997_orig.png
 
Wako mbali sana na mwendo wao unatisha...niko hapa Kigali yani ni mji msafi sana,well arranged na kuna order, u see people who knows that there is a Government in commands..huwezi ona dereva anachomekea wengine ovyo,wala uchafu,au magari ya matangazo yanayopiga makelele ovyo.. wana mipango mingi mikubwa hawa jamaa na kweli unaona kabisa wana Matumaini..huo kwetu ni nchi ya giza kila mtu na lake...ovyo kabisa..
 
Pinda juzi nilimsikia akisema eti Rwanda wanapiga hatua kwa sababu ni ndogo sana, hata jimbo lake ni kubwa kuliko Rwanda!
 
kweli hii ni nchi ya mfano na Viongozi wake wana nia ya dhati ktk kuiendeleza nchi yao Kiuchumi,kijamii na kielimu pia,wakati hapa Tanzania sisi tumebaki kuwa ni watu wa kupanga vyema sana lakini vitendo hakuna

Tupo ktk kukomoana kwanini hukunipigia kura,kwanini sikuteuliwa,nani kakutuma utangaze nia,kutafuta mizukule,kurogana na mambo meeeeeeeeeeeeeengi

4683997_orig.png
Serikali yetu inaongozwa ki mission town, wataalamu na wasomi wanapuuzwa mawazo yao yenye nia ya kujenga taifa na badala yake yanatukuzwa mawazo ya wanasiasa waliolewa madaraka na kutukuza dhamira ya uongo kwa nia kupenyeza mianya ya ufisadi kwenye kila jambo la kitaifa kwa manufaa ya ulevi huu wa madaraka.
 
kweli hii ni nchi ya mfano na viongozi wake wana nia ya dhati ktk kuiendeleza nchi yao kiuchumi,kijamii na kielimu pia,wakati hapa tanzania sisi tumebaki kuwa ni watu wa kupanga vyema sana lakini vitendo hakuna

tupo ktk kukomoana kwanini hukunipigia kura,kwanini sikuteuliwa,nani kakutuma utangaze nia,kutafuta mizukule,kurogana na mambo meeeeeeeeeeeeeengi

4683997_orig.png

mkuu ukupata full info katimua watu huko vijijini kaleta wachina wamemwagika wanaanza kujenga magorofa na kila alieondoka amehadiwa kupata vyumba na familai yake ...na hii ni kwa maskini tu na ameapa kuleta wajermani kuhakiki kila anaepewa vyumba kama hana uwezo kweli tubaki na kuuziwa nyumba za nhc mnachekelea million 30 si unataka niitwe cameroon shame gvt
 
Pinda juzi nilimsikia akisema eti Rwanda wanapiga hatua kwa sababu ni ndogo sana, hata jimbo lake ni kubwa kuliko Rwanda!

sisi bana hatuishi kutoa vizingizio,mala ooooooooooooooh linchi likubwa mala ooooooooooooooh vile

hivi jamani basi hata tutenge mkoa mmoja tu uwe mfano

hebu tuangalie china,hii nchi ni kubwa jamani,huwezi fananisha na nchi yeyote hapa Africa,lakini angalia mambo yao na kuna mwaka Nyerere aliwapa chakula kwa njaa waliokuwa nayo

lakini wako wapi sasa

tunakila kitu
milima,mabonde,madini,mito,mabwawa,bandari,kila kitu tunacho na tumewazidi chini kwa maliasili lakini wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,tumebakia siasa na kukamiana na kuonyeshana ubabe
 
mkuu ukupata full info katimua watu huko vijijini kaleta wachina wamemwagika wanaanza kujenga magorofa na kila alieondoka amehadiwa kupata vyumba na familai yake ...na hii ni kwa maskini tu na ameapa kuleta wajermani kuhakiki kila anaepewa vyumba kama hana uwezo kweli tubaki na kuuziwa nyumba za nhc mnachekelea million 30 si unataka niitwe cameroon shame gvt
kiukweli jamaa yupo makini na ameamua kufanya kweli,acha tubaki na viongozi wetu wanaolalama kila siku

wewe angalia vyanzo vya umeme,tangu vileeeeeeeeeeeeeeeeee alivyo acha Babu Nyerere,ni vipi vipya tulivyo anzisha zaidi ya kufanya ukarabati hata hivyo navyo tutadai ni vikubwa,haya basi tuwekeze ktk bandari tu tuone kama hatutatoka
 
Pinda juzi nilimsikia akisema eti Rwanda wanapiga hatua kwa sababu ni ndogo sana, hata jimbo lake ni kubwa kuliko Rwanda!

Siku zote hizi ndizo huwa kauli za mfa maji. Siku hizi naona haibu ya kulialia unafki,umemuisha sasa anaziendeleza tu pumba zake.
 
Siku zote hizi ndizo huwa kauli za mfa maji. Siku hizi naona haibu ya kulialia unafki,umemuisha sasa anaziendeleza tu pumba zake.

hahahahahahahahaha,haya bana

Ila kiukweli tunahitaji kubadilika na kuweka vipao mbele vya maendeleo ktk Taifa letu
 
  1. [h=3]Rwanda - Poverty Reduction Strategy Paper (PRSP) -- Table of ...[/h]


    www.imf.org/External/NP/prsp/2002/rwa/01/
    1.2, The special context of poverty in Rwanda. 1.3, Rwanda's development strategy. 1.4, How the PRSP has been prepared. 2, Characteristics and Analysis of ...


  2. [PDF]


    [h=3]ECONOMIC DEVELOPMENT AND POVERTY ... - UNDP in Rwanda[/h]undp.org.rw/EDPRS_2008-2012.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat
    The Republic of Rwanda. ECONOMIC DEVELOPMENT AND. POVERTY REDUCTIONSTRATEGY,. 2008-2012. Ministry of Finance and Economic Planning ...


  3. [PDF]


    [h=3]RWANDA'S DEVELOPMENT-DRIVEN TRADE POLICY FRAMEWORK[/h]www.unctad.org/en/docs/ditc20092_en.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat - Quick View
    This is consistent with the priorities enshrined in Rwanda's Vision 2020, Rwanda'sEconomic. Development and Poverty Reduction Strategy, the United Nations ...


  4. [PDF]


    [h=3]RWANDA VISION 2020[/h]www.gesci.org/assets/files/Rwanda_Vision_2020.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat - Quick View
    Rwanda's ongoing development will have, at its core, the Nation's principal asset - its people. .... comparative advantage and concentrating strategies towards it. ...


  5. [PDF]


    [h=3]ECONOMIC DEVELOPMENT & POVERTY REDUCTION ...[/h]siteresources.worldbank.org/INTRWANDA/.../EDPRS-English.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat
    REPUBULIKA Y'U RWANDA. THE REPUBLIC OF RWANDA. ECONOMICDEVELOPMENT &. POVERTY REDUCTION STRATEGY. 2008 - 2012. September ...


  6. [PDF]


    [h=3]Rwanda - Support for Policy and Strategy Development - Appraisal ...[/h]www.afdb.org/.../...
    File Format: PDF/Adobe Acrobat - Quick View

    RwandAir Gets a New Boeing 737-800 and a Custom Beer

    Share
    1
    RwandAir gets their own Pike RwandAle from The Pike Brewing Company.
    Earlier in the year, RwandAir took delivery of their first brand new aircraft, a Boeing 737-800. It was great being able totag along with them back to Kigali, Rwanda to help celebrate the continent's first Boeing Sky Interior. Last week, RwandAir executives made another trip to Seattle, WA to take delivery of their second new aircraft, another Boeing 737-800.
    During their first visit, they were very impressed with our local beer selection. Boeing made some special arrangements and during RwandAir's most recent trip, they were invited to dinner at the Pike Brewing Company. The airline received quite a surprise when the brewery came out with a special-label beer, which not only included the name "RwandAle," but also an image of a 787 in their livery (which looks amazing by the way).
    As previously reported, the 787 Dreamliner is in the airline's future plans and although it might be a while before they have one in person, they can at least enjoy some beer with a 787 on the front.
    "What a special day for our airline - we now have an airplane and an ale in RwandAir livery!" John Mirenge, RwandAir CEO stated. "We came to Seattle to pick up our second airplane, but we are leaving with a newfound friendship and a great partnership we can bring to the people of Rwanda," he said. "Now all of Rwanda can see the great partnerships we have created in Seattle - such a great place with great people."
    Members of RwandAir, Boeing and Pike Brewing Company celebrate with a toast. Photo from Boeing.
    The beer label reads: "RwandAir's delivery of their first purchased new airplanes, the Boeing 737-800, was just the beginning. The airline now looks to the future and continuing to turn dreams into reality. RwandAir and the 787 Dreamliner - the perfect combination."
    Now, a new life goal has been hatched… drinking a RwandAle on RwandAir's first Boeing 787 Dreamliner.
    This just goes to show that an airline, like RwandAir, and a company, like Boeing, are more than just planes and numbers - they are really about the people… cheers!

    Share
    1

[h=2]Rwanda - African Economic Outlook[/h]
Click to enlarge

In 2010, the economy of Rwanda recovered from the sharp downturn it experienced in the previous year by growing at 7.4%. The outlook for 2011 and 2012 remains robust. The rebound is driven mainly by increased exports, expansion in the growth of services and construction sector. Inflation also has declined considerably in 2010 compared with 2009 when food prices increased by more than 20% in the wake of the global food crisis. The macroeconomic balance also improved in 2010 and is expected to remain stable in the mid-term.
[h=3]Figure 1: Real GDP growth (E)[/h]

























Real GDP growth (%)Eastern Africa - Real GDP growth (%)
Africa - Real GDP growth (%)

20022003200420052006200720082009201020112012










0%2.5%5%7.5%10%12.5%Real GDP Growth (%)



Source: IMF and local authorities' data; estimates and projections based on authors' calculations.
Figures for 2010 are estimates; for 2011 and later are projections.

http://dx.doi.org/10.1787/888932404465


In the last decade and a half, Rwanda's economy has progressed by improving factor productivity, achieving a considerably higher level of output per worker. The mid-term outlook now depends on increased investment in core sectors. Public investment to improve power generation capacity, air transport, e-government and other sectors is expected to help sustain current growth. But the country's continued dependence on a few export commodities represents a serious constraint and the mobilisation of domestic resources to finance investment remains low.
Rwanda has undertaken impressive reforms to create a business-friendly environment for the private sector. It has the status of best reformer in the world and is one of the freer countries in economic terms. The hope is that these achievements will translate into increased economic activity in the private sector and attract investment from around the world.
There is impressive social as well as economic progress. Rwanda is on track to meet most of the Millennium Development Goals (MDGs).
Rwanda has the potential to achieve a much higher rate of economic growth. Investment in creating a skilled labour force, removing infrastructure bottlenecks and improving farm productivity could make a huge difference in the years to come. These are some of the priorities of the government's Economic Development and Poverty Reduction Strategy and Vision 2020.
[h=3]Table 1: Macroeconomic indicators[/h]
2009201020112012
Real GDP growth4.17.46.57
CPI inflation10.32.35.25.5
Budget balance % GDP-2.2-0.5-3.5-1.4
Current account % GDP-8.4-6.7-9.1-6.5
Source: National authorities' data; estimates and projections based on authors' calculations.
Figures for 2010 are estimates; for 2011 and later are projections.

http://dx.doi.org/10.1787/888932406821









 
Wako mbali sana na mwendo wao unatisha...niko hapa Kigali yani ni mji msafi sana,well arranged na kuna order, u see people who knows that there is a Government in commands..huwezi ona dereva anachomekea wengine ovyo,wala uchafu,au magari ya matangazo yanayopiga makelele ovyo.. wana mipango mingi mikubwa hawa jamaa na kweli unaona kabisa wana Matumaini..huo kwetu ni nchi ya giza kila mtu na lake...ovyo kabisa..
huendi mjini bila viatu !
 
  1. Rwanda - Poverty Reduction Strategy Paper (PRSP) -- Table of ...




    www.imf.org/External/NP/prsp/2002/rwa/01/
    1.2, The special context of poverty in Rwanda. 1.3, Rwanda's development strategy. 1.4, How the PRSP has been prepared. 2, Characteristics and Analysis of ...
  2. [PDF]


    ECONOMIC DEVELOPMENT AND POVERTY ... - UNDP in Rwanda

    undp.org.rw/EDPRS_2008-2012.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat
    The Republic of Rwanda. ECONOMIC DEVELOPMENT AND. POVERTY REDUCTIONSTRATEGY,. 2008-2012. Ministry of Finance and Economic Planning ...
  3. [PDF]


    RWANDA'S DEVELOPMENT-DRIVEN TRADE POLICY FRAMEWORK

    www.unctad.org/en/docs/ditc20092_en.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat - Quick View
    This is consistent with the priorities enshrined in Rwanda's Vision 2020, Rwanda'sEconomic. Development and Poverty Reduction Strategy, the United Nations ...
  4. [PDF]


    RWANDA VISION 2020

    www.gesci.org/assets/files/Rwanda_Vision_2020.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat - Quick View
    Rwanda's ongoing development will have, at its core, the Nation's principal asset - its people. .... comparative advantage and concentrating strategies towards it. ...
  5. [PDF]


    ECONOMIC DEVELOPMENT & POVERTY REDUCTION ...

    siteresources.worldbank.org/INTRWANDA/.../EDPRS-English.pdf
    File Format: PDF/Adobe Acrobat
    REPUBULIKA Y'U RWANDA. THE REPUBLIC OF RWANDA. ECONOMICDEVELOPMENT &. POVERTY REDUCTION STRATEGY. 2008 - 2012. September ...
  6. [PDF]


    Rwanda - Support for Policy and Strategy Development - Appraisal ...

    www.afdb.org/.../...
    File Format: PDF/Adobe Acrobat - Quick View

    RwandAir Gets a New Boeing 737-800 and a Custom Beer

    Share
    1

    RwandAir gets their own Pike RwandAle from The Pike Brewing Company.
    Earlier in the year, RwandAir took delivery of their first brand new aircraft, a Boeing 737-800. It was great being able totag along with them back to Kigali, Rwanda to help celebrate the continent's first Boeing Sky Interior. Last week, RwandAir executives made another trip to Seattle, WA to take delivery of their second new aircraft, another Boeing 737-800.
    During their first visit, they were very impressed with our local beer selection. Boeing made some special arrangements and during RwandAir's most recent trip, they were invited to dinner at the Pike Brewing Company. The airline received quite a surprise when the brewery came out with a special-label beer, which not only included the name "RwandAle," but also an image of a 787 in their livery (which looks amazing by the way).
    As previously reported, the 787 Dreamliner is in the airline's future plans and although it might be a while before they have one in person, they can at least enjoy some beer with a 787 on the front.
    "What a special day for our airline - we now have an airplane and an ale in RwandAir livery!" John Mirenge, RwandAir CEO stated. "We came to Seattle to pick up our second airplane, but we are leaving with a newfound friendship and a great partnership we can bring to the people of Rwanda," he said. "Now all of Rwanda can see the great partnerships we have created in Seattle - such a great place with great people."
    Members of RwandAir, Boeing and Pike Brewing Company celebrate with a toast. Photo from Boeing.
    The beer label reads: "RwandAir's delivery of their first purchased new airplanes, the Boeing 737-800, was just the beginning. The airline now looks to the future and continuing to turn dreams into reality. RwandAir and the 787 Dreamliner - the perfect combination."
    Now, a new life goal has been hatched… drinking a RwandAle on RwandAir's first Boeing 787 Dreamliner.
    This just goes to show that an airline, like RwandAir, and a company, like Boeing, are more than just planes and numbers - they are really about the people… cheers!

    Share
    1
Rwanda - African Economic Outlook


Click to enlarge

In 2010, the economy of Rwanda recovered from the sharp downturn it experienced in the previous year by growing at 7.4%. The outlook for 2011 and 2012 remains robust. The rebound is driven mainly by increased exports, expansion in the growth of services and construction sector. Inflation also has declined considerably in 2010 compared with 2009 when food prices increased by more than 20% in the wake of the global food crisis. The macroeconomic balance also improved in 2010 and is expected to remain stable in the mid-term.
Figure 1: Real GDP growth (E)



























Real GDP growth (%)Eastern Africa - Real GDP growth (%)
Africa - Real GDP growth (%)

20022003200420052006200720082009201020112012










0%2.5%5%7.5%10%12.5%Real GDP Growth (%)



Source: IMF and local authorities' data; estimates and projections based on authors' calculations.
Figures for 2010 are estimates; for 2011 and later are projections.

http://dx.doi.org/10.1787/888932404465


In the last decade and a half, Rwanda's economy has progressed by improving factor productivity, achieving a considerably higher level of output per worker. The mid-term outlook now depends on increased investment in core sectors. Public investment to improve power generation capacity, air transport, e-government and other sectors is expected to help sustain current growth. But the country's continued dependence on a few export commodities represents a serious constraint and the mobilisation of domestic resources to finance investment remains low.
Rwanda has undertaken impressive reforms to create a business-friendly environment for the private sector. It has the status of best reformer in the world and is one of the freer countries in economic terms. The hope is that these achievements will translate into increased economic activity in the private sector and attract investment from around the world.
There is impressive social as well as economic progress. Rwanda is on track to meet most of the Millennium Development Goals (MDGs).
Rwanda has the potential to achieve a much higher rate of economic growth. Investment in creating a skilled labour force, removing infrastructure bottlenecks and improving farm productivity could make a huge difference in the years to come. These are some of the priorities of the government's Economic Development and Poverty Reduction Strategy and Vision 2020.
Table 1: Macroeconomic indicators


2009201020112012
Real GDP growth4.17.46.57
CPI inflation10.32.35.25.5
Budget balance % GDP-2.2-0.5-3.5-1.4
Current account % GDP-8.4-6.7-9.1-6.5
Source: National authorities' data; estimates and projections based on authors' calculations.
Figures for 2010 are estimates; for 2011 and later are projections.

http://dx.doi.org/10.1787/888932406821









sasa ona wenzetu wameamua kuwekeza ktk CORE na itawatoa hiyo,ktk upande wa ndege sisi bado tunadeni tunalodaiwa na walejamaa waliokarabati kandege ketu tena hakifanyi kazi kwa sasa baada ya kutoka SAOUTH AFRICA,

acha wasonge mbele bana

hapa ni nchi ya kitu kidogo
 
ndani ya mwaka mmoja wameweza kuondoa nyumba za nyasi kwa 85 %.juzi juzi wamezifunga akaunti za benki za ubalozi wa ubelgiji nchini kwao bila uoga
 
tz na maktaim kimaendeleo ni kama kuunga hoja mia kwa mia kwenye hoja ya kipuuzi
 
Pinda juzi nilimsikia akisema eti Rwanda wanapiga hatua kwa sababu ni ndogo sana, hata jimbo lake ni kubwa kuliko Rwanda!

Pinda is full of hot air! It is not just about the size of the country, it is the size of the brain; Hapa unaona kabisa what Kagame is doing, wakati serikali inafanya mipango ya muda mrefu watu wanatakiwa wawe na practicle solution - ng'ombe mmoja na nadhani ni kwa ajili ya maziwa (nutrition). Yeye Pinda badala ya kusaidia wakulima wake waondokane na jembe la mkono anawaleta wakulima uchwara toka Marekani (Agraisal), ni lini watu wa jimboni kwake walishindwa kulima kwa kutumia treka kama lilikuwepo?
 
Pinda juzi nilimsikia akisema eti Rwanda wanapiga hatua kwa sababu ni ndogo sana, hata jimbo lake ni kubwa kuliko Rwanda!

huyu jamaa si ndio alidanganya bungeni?
sio wa kumsikiliza, ndio anaowazungumzia engmtolera hapo juu hawana lolote ni kabobo tuuuuuu....
 
Pinda juzi nilimsikia akisema eti Rwanda wanapiga hatua kwa sababu ni ndogo sana, hata jimbo lake ni kubwa kuliko Rwanda!

...Hawa jamaa ndio uwezo wao wa kufikiri ulipofikia.....Mimi sijasoma uchumi lakini hata siku moja siwazi kufikiri kwa style hiyo! Kwa sababu tukiwa darasa la tano tulifundishwa hesabu za uwiano. kwa viongozi tulionao ambao hivi ndivyo wanavyo approach matatizo ya nchi yetu! Maendeleo tutayaona baada ya wao kutoka madarakani!
 
Back
Top Bottom