engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
kweli hii ni nchi ya mfano na Viongozi wake wana nia ya dhati ktk kuiendeleza nchi yao Kiuchumi,kijamii na kielimu pia,wakati hapa Tanzania sisi tumebaki kuwa ni watu wa kupanga vyema sana lakini vitendo hakuna
Tupo ktk kukomoana kwanini hukunipigia kura,kwanini sikuteuliwa,nani kakutuma utangaze nia,kutafuta mizukule,kurogana na mambo meeeeeeeeeeeeeengi
Tupo ktk kukomoana kwanini hukunipigia kura,kwanini sikuteuliwa,nani kakutuma utangaze nia,kutafuta mizukule,kurogana na mambo meeeeeeeeeeeeeengi