Ana mkutano wa kampeni maeneo ya rwamishenye,shughuli mjini zimeathirika kwani mamia kwa maelfu ya watu wamefurika.wadau kwa kweli bkb hapatoshi.kagasheki anaonekana kuzidiwa kabisa.nguvu ya fedha inaonekana haina maana kabisa mbele ya nguvu ya uma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.