figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Mwalimu wa kiume mwenye miaka 47 amefariki dunia akiwa anasimamia mtihani wa somo la kiingereza kwenye shule ya msingi Mkapa iliyopo mkoani Rukwa.
May his soul rest in peace.Mwalimu wa kiume mwenye miaka 47 amefariki dunia akiwa anasimamia mtihani wa somo la kiingereza kwenye shule ya msingi Mkapa iliyopo mkoani Rukwa.
AmeeeeeenOoh mungu amuweke pema mwalimu wetu!!
Umenikumbisha mbali....eti hizo ndio busata za mtu mzima na msomi pia waziri mkuu. Wapigwe tu......Ni Sumbawanga au kwa Mzee wa "Wapigwe tu"?
hahhahaha na katavi kuna shule ya mkapa pia kesho ntauliza wadau wangu wa huko kama ni kataviNi Sumbawanga au kwa Mzee wa "Wapigwe tu"?
Mwanga wa milele umwangazie e bwana apumzike kwa amani, Pia tukio hili linanikumbusha Mwaka 1996 ambapo Baba yangu naye alifariki akisimamia Mtihani wa Darasa LA saba huko Magu Mwanza, Mwenyezi Mungu watie nguvu wafiwa.Mwalimu wa kiume mwenye miaka 47 amefariki dunia akiwa anasimamia mtihani wa somo la kiingereza kwenye shule ya msingi Mkapa iliyopo mkoani Rukwa.
Hahahaha huyu hata angekua kafanya kosa angeachwaHata huyu angeendelea kuongea kidogo na rais angemfuata marehemu
Poleni wadiwa
Halafu nae akataka apewe urais wakati uwaziri mkuu ulimshinda.Umenikumbisha mbali....eti hizo ndio busata za mtu mzima na msomi pia waziri mkuu. Wapigwe tu......
Pole sanaMwanga wa milele umwangazie e bwana apumzike kwa amani, Pia tukio hili linanikumbusha Mwaka 1996 ambapo Baba yangu naye alifariki akisimamia Mtihani wa Darasa LA saba huko Magu Mwanza, Mwenyezi Mungu watie nguvu wafiwa.