Maranzana
Senior Member
- Sep 1, 2010
- 192
- 97
Ibada ilipokaribia kuisha mchungaji akauliza;
"anayetaka kuokoka anyooshe mkono!"watu wote kimya. Rugemalila alikuwepo kwenye ibada akapita mbele akasema; "jamani mchungaji anauliza anayetaka kuokoka anyooshe mkono!". Mdada mmoja akanyoosha mkono. Rugemalila akampa yule mdada laki 3. Akawageukia waumini akauliza tena; "anayetaka kuokoka anyooshe mkono". Waumini wote wakanyoosha mikono, cha kushangaza alipogeuka nyuma akakuta mchungaji naye kanyoosha mkono. PESA KITU KINGINE!
"anayetaka kuokoka anyooshe mkono!"watu wote kimya. Rugemalila alikuwepo kwenye ibada akapita mbele akasema; "jamani mchungaji anauliza anayetaka kuokoka anyooshe mkono!". Mdada mmoja akanyoosha mkono. Rugemalila akampa yule mdada laki 3. Akawageukia waumini akauliza tena; "anayetaka kuokoka anyooshe mkono". Waumini wote wakanyoosha mikono, cha kushangaza alipogeuka nyuma akakuta mchungaji naye kanyoosha mkono. PESA KITU KINGINE!