Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,706
Mahitaji
Nyama kilo moja
Tangawizi na thomu viwe vimesagwa kila kimoja ujazo wa nusu kijiko cha chai
Kitunguu maji kimoja kikubwa kikatwe katwe
Nyanya maji kubwa tano
Limao kiasi
Mchuzi mix masala kijiko kimoja cha chai
Pilipilimbichi ya kusaga kiasi
MAPISHI
Safisha nyama, kamulia limao, weka tangawizi kidogo changanya kisha chemsha hadi iive, bakisha supu kiasi
Weka sufuria jikoni, mimina mafuta kiasi, tia vitunguu maji koroga hadi viwe kama na rangi ya kijani mpauko
Mimina thomu na tangawizi koroga kidogo
Tia rojo la nyanya, tia chumvi koroga funika acha nyanya ziive
Funua kisha tia vipande vya nyama, koroga, tia supu kiasi koroga tia mchuzi mix koroga punguza moto acha mboga ichemke taratibu
Kula kwa wali au kwa ugali na glass ya mtindi laini kisha jenga mwili
Nyama kilo moja
Tangawizi na thomu viwe vimesagwa kila kimoja ujazo wa nusu kijiko cha chai
Kitunguu maji kimoja kikubwa kikatwe katwe
Nyanya maji kubwa tano
Limao kiasi
Mchuzi mix masala kijiko kimoja cha chai
Pilipilimbichi ya kusaga kiasi
MAPISHI
Safisha nyama, kamulia limao, weka tangawizi kidogo changanya kisha chemsha hadi iive, bakisha supu kiasi
Weka sufuria jikoni, mimina mafuta kiasi, tia vitunguu maji koroga hadi viwe kama na rangi ya kijani mpauko
Mimina thomu na tangawizi koroga kidogo
Tia rojo la nyanya, tia chumvi koroga funika acha nyanya ziive
Funua kisha tia vipande vya nyama, koroga, tia supu kiasi koroga tia mchuzi mix koroga punguza moto acha mboga ichemke taratibu
Kula kwa wali au kwa ugali na glass ya mtindi laini kisha jenga mwili