Mpangwa Asilia
Member
- Mar 6, 2008
- 25
- 0
Sielewi wale wote wanaojaribu kupoteza ule ukweli wa kwamba kuna element ya ubaguzi wa rangi, hilo sioni kama ni point ya kuwaambia wana Jamii. Mimi ninachoamini ni kwamba kama kuna mtu anaona kuwa hii ni issue ya ubaguzi wa Rangi na si kweli basi na awatetee hao MAFISADI papa. Well, wasemao kuwa Mengi ni fisadi papa pia basi nawatamke!! Watanzania wenzangu tuamke kabla hatujaliwa tukaisha.