kama haya ni ya kweli basi chadema ni chama dhaifu mno.rufaa moja toka mwaka 2005 mpaka leo bado haijapatiwa ufumbuzi...mkipewa nchi iliojaa rufaa za mahakamani,mabaraza ya ardhi,polisi,wajumbe wa nyumba kumikumi mtaziweza kweli..Maji Moto pia ni mtu wa kumpima kama ana akili sawasawa kwa kuwa huwezi kumfukuza katibu wako wa wilaya,bali unapeleka malalamiko ndazi ya juu yake na pia huwezi kusema kuwa ata mkoani wanamlinda,hapo tayari ni mpasukomkubwa ktk chama...ili chadema kweli iwe ni chama imara ni lazima ikubali ukweli kuwa kuna migogolo mikubwa ndani yake na hakina njia bado ya kuitatua.migogolo hio itakuwa mikubwa zaidi kama mtaweza kupewa uongoza nchi.imagine hapo ni chama kidogo tu na kina mtandao mdogo tu unaoishia katika wilaya kwa sehemu kubwa.