QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Katika Gazeti la Mwanahalisi Ukurasa wa mbele umeandika "Rostam ajichimbia Ulaya". Imenikumbusha miaka ambayo CCM walisema "hawa wapinzani wanataka kuleta vita, ikianza wao watakimbilia nje".
Sasa wakati umewadia. Leo waliofilisi nchi yetu wameanza kutimka. Badi JK, Lowasa, Chenge, Hosea, Riziwani ....
Kumbe hawakuwa wanamaanisha wapinzani bali walimaanisha wao wenyewe
QUALITY
Sasa wakati umewadia. Leo waliofilisi nchi yetu wameanza kutimka. Badi JK, Lowasa, Chenge, Hosea, Riziwani ....
Kumbe hawakuwa wanamaanisha wapinzani bali walimaanisha wao wenyewe
QUALITY