Regan Naberera
Member
- Dec 17, 2018
- 48
- 54
Mwanamuziki w a kike wa nyimbo za kiinjili.
Rose Mhando ambaye hujulikana pia kwa jina la Rose
Muhando ;amezaliwa mwaka 1976 katika kijiji cha Dumila, Wilaya ya
Kilosa , Mkoa wa Morogoro , nchini Tanzania ) ni msanii maarufu wa
muziki wa injili katika lugha ya swahili katika kanda ya Afrika
Mashariki .
Rose,ambaye alikuwa muumini wa dini ya kiislamu,ni mama wa
watoto watatu. Mama huyu alidai kuwa akiwa na umri wa miaka
tisa alipata maono ya Yesu Kristo akiwa amelazwa. Aliteseka kwa
muda wa miaka mitatu,na baada ya hapo alipona na kubadili dini
( kuongoka) na kuwa mkristo . Alianza fani yake ya muziki kama
mwalimu wa kwaya inayoitwa Kwaya ya Mtakatifu Maria katika
kanisa la kianglikana linaloitwa Chimuli mkoani Dodoma.
Amewatakia heri ya chrismas na mwaka mpya wana JF wote
Rose Mhando ambaye hujulikana pia kwa jina la Rose
Muhando ;amezaliwa mwaka 1976 katika kijiji cha Dumila, Wilaya ya
Kilosa , Mkoa wa Morogoro , nchini Tanzania ) ni msanii maarufu wa
muziki wa injili katika lugha ya swahili katika kanda ya Afrika
Mashariki .
Rose,ambaye alikuwa muumini wa dini ya kiislamu,ni mama wa
watoto watatu. Mama huyu alidai kuwa akiwa na umri wa miaka
tisa alipata maono ya Yesu Kristo akiwa amelazwa. Aliteseka kwa
muda wa miaka mitatu,na baada ya hapo alipona na kubadili dini
( kuongoka) na kuwa mkristo . Alianza fani yake ya muziki kama
mwalimu wa kwaya inayoitwa Kwaya ya Mtakatifu Maria katika
kanisa la kianglikana linaloitwa Chimuli mkoani Dodoma.
Amewatakia heri ya chrismas na mwaka mpya wana JF wote