Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Yule mchezaji bora wa zamani, Ronaldo De Asis Moreira, ajulikanaye zaidi kwa jina la Ronaldinho Gaucho amesikika akimbembeleza kocha mpya wa Selecao, yaani Brazili, ampe namba katika kikosi cha Olimpiki 2012. Mashabiki wa mkongwe huyo ambaye kiwango chake kimefifia sana, hasa Gang Chomba, walionekana kwenye mahekalu ya Kirumi wakiomba dua maombi hayo yasikike ili walau wamuone kinara huyo aliyekwisha kabla hajastaafu. Kwa taarifa zaidi tembelea: Brazil's Ronaldinho targeting Olympics - ESPN Soccernet