Poleni na majukumu wakuu,
NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.
Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha🙂🙂.
NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.
Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha🙂🙂.