Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,059
- 6,716
Asubuhi ulimkumbusha?? Maana communication ndio kila kitu. Ungemwambia halafu akaushe ndo useme. Next time ukimfuata mtu ambaye sio mume wako wa ndoa hakikisha una nauli.Best mi sio tegemez hata kidogo ninabiashara yangu inanilipa tu
Nadhan imetokea tu kanipigia sikua nyumban na aliniambia yuko hoi anaumwa kwel sikurud hata nyumban kuchukua hela,,,bht nzur nilikua na hela kwenye manyonyo tena ulikua ya upatu,, ikabidi niende nafika ananiambia nilikumiss nikuone tu,,,,
Asubuh kaamka namwambia unajua sina nauli akaniambia poa