EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kwenye ofisi za RITA kuna hili tangazo.
TANGAZO
Ndugu wapendwa wateja wetu, mnakumbushwa kwamba hii ni taasisi ya Serikali ambayo inaendeshwa kimaadili hivyo basi hatutapendelea baadhi ya mavazi yasiyofaa na yasiyo na heshima kuvaliwa ofisi kama yafuatayo:-
UTAWALA
08 Februari 2011
TANGAZO
Ndugu wapendwa wateja wetu, mnakumbushwa kwamba hii ni taasisi ya Serikali ambayo inaendeshwa kimaadili hivyo basi hatutapendelea baadhi ya mavazi yasiyofaa na yasiyo na heshima kuvaliwa ofisi kama yafuatayo:-
- Mavazi yanayofunika uso wote - Kininja "Nikab".
- Singet (fulana zisizo na mikono)
- Kaptula
- Suruali zinazolegea "Mlegezo"
- Kofia kubwa "Parma"
- Vitop vya kike vinavyoonyesha vitovu
UTAWALA
08 Februari 2011