Majira ya saa nne asubuhi leo Polisi wamefanikiwa kuwaua majambazi watano ambao walivamia duka la hardware kwa ajili ya kufanya uporaji!
Ilikuwa hivi..Polisi walikuwa na taarifa za uhalifu huo wakawa wamewawekea mtego, jamaa walivyoingia tu Polisi wakaanza kuwaua wale walio nje waliokuwa wakilinda wenzao, baada ya kuwaua ndo wakawaingilia wale wa ndani na kuwamaliza.
Nimeshuhudia mwenyewe miili mitano ya majambazi hayo ikiwa imechakazwa sana na risasi, imehifadhiwa mortuary Bugando.
MY TAKE; Nawapongeza sana polisi kwa kazi nzuri walioifanya, lakini je walijuaje?? Ni matukio mangapi huwa wanayajua kabla?
Ilikuwa hivi..Polisi walikuwa na taarifa za uhalifu huo wakawa wamewawekea mtego, jamaa walivyoingia tu Polisi wakaanza kuwaua wale walio nje waliokuwa wakilinda wenzao, baada ya kuwaua ndo wakawaingilia wale wa ndani na kuwamaliza.
Nimeshuhudia mwenyewe miili mitano ya majambazi hayo ikiwa imechakazwa sana na risasi, imehifadhiwa mortuary Bugando.
MY TAKE; Nawapongeza sana polisi kwa kazi nzuri walioifanya, lakini je walijuaje?? Ni matukio mangapi huwa wanayajua kabla?