Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,495
- 14,358
MH JAKAYA.::
pole kwa kazi mkuu wa taifa hli lenye miaka hamsini bdo linaitwa changa, kilio hiki naomba kisilete matanga. jembe la mkono limeshanipa sugu kiganja kimekuwa kama soli ya ya kiatu wakati nikubiri shiling thelathini kwa chungwa liuzwalo shilingi mia tatu mjini, inasikitisha trekta zinalima mchicha huku tukisubiri kuazimana majembe kupalilia katani.
Mate yalitukauka kwa wingi wa vigelegele wakati ukiapishwa mwaka 2005, lakini mwaka 2010 ulipita kwa mlango wa nyuma., na niisikitika zaidi ninapoona mawaziri na wabunge wako wanang'ang;ania posho............ jamaa aliporomosha kilio kilichoambatana na kamasi. kuona hivyo JK akala kona....
pole kwa kazi mkuu wa taifa hli lenye miaka hamsini bdo linaitwa changa, kilio hiki naomba kisilete matanga. jembe la mkono limeshanipa sugu kiganja kimekuwa kama soli ya ya kiatu wakati nikubiri shiling thelathini kwa chungwa liuzwalo shilingi mia tatu mjini, inasikitisha trekta zinalima mchicha huku tukisubiri kuazimana majembe kupalilia katani.
Mate yalitukauka kwa wingi wa vigelegele wakati ukiapishwa mwaka 2005, lakini mwaka 2010 ulipita kwa mlango wa nyuma., na niisikitika zaidi ninapoona mawaziri na wabunge wako wanang'ang;ania posho............ jamaa aliporomosha kilio kilichoambatana na kamasi. kuona hivyo JK akala kona....