DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Kwa nini hao Wabunge wa CCM wanataka kukutana wenyewe? Hivi wanachi wataendelea kusalitiwa mpaka lini? Kweli watajadili hiyo ripoti kwa moyo wa kizalendo au ndio watajifanya kubweka tu, wakiwa wameelekezwa cha kusema? Yetu macho na masikio..halafu mauvimivu makali..ila hatujazoe..ipo siku..nayo ni leo....MTANZANIA AMKAAAAAAAAAAAAA
..wanakutana kuwekana sawa.
..kule kuzomea hakukuwa kwa kawaida.
..i hope "watawekana sawa".