ngodowimkulu
Member
- Mar 20, 2017
- 93
- 18
CCM wengi ni wa ajabu wao wanaimini Wapinzani ni maadui kumbe Adui wa Taifa ni wabunge wa CCM wanaopitisha mikataba mibovu kisha kuja kufukua makaburi ili watoe vitu alivyozikwa navyo marehemu mikataba ya madiniDuh.....kumbe lengo ni kumvua nguo Lissu!
Sasa hizo sheria za madini wakati mnazipitisha bungeni kwa mbwembwe na kwa "manufaa ya taifa" imejuwaje mara hii hazifai? Na bado, kuna zile sheria za gesi nazo zilipitishwa kwa hati ya dharura!
Kuwa mpinzani nchi hii ni dhambi kubwa sana. Wenye nchi wanaamini ni wao tu ndio wana "monopoly of truth".
Wametengeneza blackmail kama ile ya Bashite ya dawa za kulevya yaani sasa Wajanja wanakula Rishwa kontena zinasafirisshwa kwenda Rwanda Uganda na kupitia bandari ya mombasa kenya na zingine zinasafirishwa kimya kimya kupitia bandari ya Dsm,Umeandika nini sasa? Yaani rais anataka kuhongwa, harafu wahongaji hawakamatwi?
Tuambie what is the price tag of the president?
Mikataba ya wizi ilitengenezwa na wabunge wa CCM cha ajabu wanataka kumbambikia Lisu Uzushi wakidhani watanzania ni wajinga hawajui kuchambua pumba .kwani lissu ndio aliingia mikataba na wawekezaji?
Uchunguzi utawaacha Uchi CCM wenyewe waliotengeneza hiyo mikataba.Sio kwamba itawaacha uchi walioingia hiyo mikataba (JK, Ben) bali TL!?