Ripoti ya CAG?; Rais ajiuzulu na tuitishe uchaguzi mkuu,tuache siasa kwenye maisha ya watu

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
Kila jambo lipo bayana sasa kubwa yeye ndio kuidhinishaji mkuu ,yeye ndio ameleta haya kwa kauli zake

'kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake 'kauli ya kuchochea wizi na ufisadi.

"Kulamba asali " kauli za kuchochea mioyo ya tamaa kwa mali za umma.

"Sitaki kodi za dhurma"kauli za kuwaachia maafsa wa TRA wapige dili wa wadaiwa hakuna offense.

"Waachie ngazi,watupishe "kauli za kushindwa kuchukua hatua na kusababisha mizozo mpaka muda huu haieleweki nani apishe na kwa nini?

Rais wetu ndio alichukua nchi kutoka kwa JPM na report ya CAG mwaka jana lawama zote alipewa marehemu walioiba wakaishia kama kafa shoga vile maisha yaendelee saa ni dhahiri kuwa shida iko kwa rais mwenyewe.

Kwa mujibu wa katiba yetu ni bora yeye mwenyewe ajitokeze ajiuzulu tuitishe uchaguzi mpya sio kuja anajificha

1. Kwanini mpaka sasa ameshindwa kuchukua hatua na bado yupo ikulu na pesa zetu zinaliwa ?

2. Kwanini alikimbizie bungeni na wote aliwateuwa yeye bila kuwauliza hao wabunge?

Rais Samia ajiuzulu kulinda hadhi ya IKULU sio kujificha na kupeleka bungeni ili waziri mkuu abebeshwe mzigo


USSR
View attachment 2578954View attachment 2578956View attachment 2578957View attachment 2578958View attachment 2578959
 
Kila jambo lipo bayana sasa kubwa yeye ndio kuidhinishaji mkuu ,yeye ndio ameleta haya kwa kauli zake

'kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake 'kauli ya kuchochea wizi na ufisadi.

"Kulamba asali " kauli za kuchochea mioyo ya tamaa kwa mali za umma.

"Sitaki kodi za dhurma"kauli za kuwaachia maafsa wa TRA wapige dili wa wadaiwa hakuna offense.


"Waachie ngazi,watupishe "kauli za kushindwa kuchukua hatua na kusababisha mizozo mpaka muda huu haieleweki nani apishe na kwa nini?

Rais wetu ndio alichukua nchi kutoka kwa JPM na report ya CAG mwaka jana lawama zote alipewa marehemu walioiba wakaishia kama kafa shoga vile maisha yaendelee saa ni dhahiri kuwa shida iko kwa rais mwenyewe.

Kwa mujibu wa katiba yetu ni bora yeye mwenyewe ajitokeze ajiuzulu tuitishe uchaguzi mpya sio kuja anajificha

1.kwa nini mpaka sasa ameshindwa kuchukua hatua na bado yupo ikulu na pesa zetu zinaliwa ?

2.kwanini alikimbizie bungeni na wote aliwateuwa yeye bila kuwauliza hao wabunge?

Rais Samia ajiuzulu kulinda hadhi ya IKULU sio kujificha na kupeleka bungeni ili waziri mkuu abebeshwe mzigo


USSR
Zile Trillion 1.5 mbona hamkusema Rais ajiuzulu tuitishe uchaguz mkuu?
 
CAG alifafanua kuwa sio kweli sema kwa akili zako kisoda huwezi kukumbuka hilo

USSR
Wee utakua mwerevu lin? Ile alipigwa bit aweke mambo sawa, ndo maan Assad alikuja kusema hawez fanya kaz kwa kufuata maelekezo ya mtu na sio taaluma!! Mnapangwa nanyie mnajaa!!
 
Kila jambo lipo bayana sasa kubwa yeye ndio kuidhinishaji mkuu ,yeye ndio ameleta haya kwa kauli zake

'kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake 'kauli ya kuchochea wizi na ufisadi.

"Kulamba asali " kauli za kuchochea mioyo ya tamaa kwa mali za umma.

"Sitaki kodi za dhurma"kauli za kuwaachia maafsa wa TRA wapige dili wa wadaiwa hakuna offense.


"Waachie ngazi,watupishe "kauli za kushindwa kuchukua hatua na kusababisha mizozo mpaka muda huu haieleweki nani apishe na kwa nini?

Rais wetu ndio alichukua nchi kutoka kwa JPM na report ya CAG mwaka jana lawama zote alipewa marehemu walioiba wakaishia kama kafa shoga vile maisha yaendelee saa ni dhahiri kuwa shida iko kwa rais mwenyewe.

Kwa mujibu wa katiba yetu ni bora yeye mwenyewe ajitokeze ajiuzulu tuitishe uchaguzi mpya sio kuja anajificha

1.kwa nini mpaka sasa ameshindwa kuchukua hatua na bado yupo ikulu na pesa zetu zinaliwa ?

2.kwanini alikimbizie bungeni na wote aliwateuwa yeye bila kuwauliza hao wabunge?

Rais Samia ajiuzulu kulinda hadhi ya IKULU sio kujificha na kupeleka bungeni ili waziri mkuu abebeshwe mzigo


USSR
Well said mkuu USSR ...
Hii Dunia bhana!
Mambo yanaenda kwa kasi sana!
Tulisema time will tell!

Mama katoka Zanzibar kichwakichwa bila kuwajua watu wa Kisarawe na Msoga vizuri,akawaamini kisa walienda kumtoa chumbani Dodoma na kumuingiza ukumbini....

Zamu ya Magufuli inaelekea kuisha na haluna tena kichaka kingine zaidi ya yeye mwenyewe!
 
Kila jambo lipo bayana sasa kubwa yeye ndio kuidhinishaji mkuu ,yeye ndio ameleta haya kwa kauli zake

'kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake 'kauli ya kuchochea wizi na ufisadi.

"Kulamba asali " kauli za kuchochea mioyo ya tamaa kwa mali za umma.

"Sitaki kodi za dhurma"kauli za kuwaachia maafsa wa TRA wapige dili wa wadaiwa hakuna offense.


"Waachie ngazi,watupishe "kauli za kushindwa kuchukua hatua na kusababisha mizozo mpaka muda huu haieleweki nani apishe na kwa nini?

Rais wetu ndio alichukua nchi kutoka kwa JPM na report ya CAG mwaka jana lawama zote alipewa marehemu walioiba wakaishia kama kafa shoga vile maisha yaendelee saa ni dhahiri kuwa shida iko kwa rais mwenyewe.

Kwa mujibu wa katiba yetu ni bora yeye mwenyewe ajitokeze ajiuzulu tuitishe uchaguzi mpya sio kuja anajificha

1.kwa nini mpaka sasa ameshindwa kuchukua hatua na bado yupo ikulu na pesa zetu zinaliwa ?

2.kwanini alikimbizie bungeni na wote aliwateuwa yeye bila kuwauliza hao wabunge?

Rais Samia ajiuzulu kulinda hadhi ya IKULU sio kujificha na kupeleka bungeni ili waziri mkuu abebeshwe mzigo


USSR
Kwanza, tumpongeze Mhe. Rais kwa kuruhusu uwazi katika kuendesha nchi. Inawezekana tumezoea Serikali nyingi za Afrika hazijikosoi kwa kuanika ukiukaji wa taratibu za utawala bora, hivyo ripoti kama hizi tunashtuka. Ndiyo uwazi. Pili, Utawala wa sheria una taratibu zake. Ripoti haina hata wiki mbili. Serikali makini inatafuta ushahidi kabla ya hatua.. Kuruhusu uwazi tu ktk ukaguzi ni ishara Mhe. Rais kadhamiria. 🙏🙏🙏
 
mimi naunga mkono hoja zako, najiuliza hivi ikulu ni patakatifu kweli?, kwa namna mambo yanavyokwenda nadhani ikulu ni sehemu ya kihuni kama sehemu za kihuni zingine. Kauli nyingi zinatokea ikulu na hizo kauli ni kauli za kuhamasisha kuiba mali za uma, kulinda waharifu n.k haijulikani ni yupi ni kiongozi mkuu wa nchi anayetetea na kuwajibisha wezi na mwenye kulinda mali za nchi. Kwakweli mimi ingekuwa natoa maoni nami ningeungana nawe kuwa ni bora ajiudhuru tusiwe na rais ijulikane
 
mimi naunga mkono hoja zako, najiuliza hivi ikulu ni patakatifu kweli?, kwa namna mambo yanavyokwenda nadhani ikulu ni sehemu ya kihuni kama sehemu za kihuni zingine. Kauli nyingi zinatokea ikulu na hizo kauli ni kauli za kuhamasisha kuiba mali za uma, kulinda waharifu n.k haijulikani ni yupi ni kiongozi mkuu wa nchi anayetetea na kuwajibisha wezi na mwenye kulinda mali za nchi. Kwakweli mimi ingekuwa natoa maoni nami ningeungana nawe kuwa ni bora ajiudhuru tusiwe na rais ijulikane
Mama ndio utupishe . Kikwete alisema kuwa hali ikiwa mbaya sana sasa naona imekuwa tayari

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom