Njaa na umasikini ni kitu kibaya sana!Tatizo unanuliwa kama mbuzi pasipo kumjua anae kununua
Sasa sijui watakuja na kauli gani this time!!Wachumia tumbo hao hawajitambui hata chembe baada ya kujitoa ufahamu na kudai eti wanaliunga mkono jiwe.
Wenzetu nyie ni miongoni mwa wanasiasa waliohama vyama vya upinzani na kujiunga na CCM kwa madai ya kuridhishwa na utendaji wa serikaki ya Rais Magufuli huku baadhi yenu mkilaumu wapinzani kwa kupinga kila kitu.
Baada ya ripoti ya CAG kutoka ya mwaka wa fedha wa 2016/2017, ningependa kusikia maoni yenu nyinyi pamoja na wale wengine wote waliohama upinzani na kuhamia CCM ili kumuunga mkono mheshimiwa.
Je,kwa upotevu huu mkubwa wa fedha za umma,mtahama tena CCM?
Kwa tuhuma hizi za upotevu huu mkubwa wa fedha za umma na matumizi haya makubwa ya fedha za umma nje ya bajeti, tuambieni CCM ya Kikwete na hii ya Magufuli ipo bora?
Je,sasa mmeamini maneno ya viongozi wa dini kuwa "kiongozi mzalendo si mbadala wa Katiba mpya"?
Tuambieni mnajifunza nini?
Katambi na Kitila Mkumbo sijawasahau.
Naombeni majibu.
Kanunua bombadia
Hivi kama umemtengea mkandarasi bilioni 10...na so far amefanya kazi ya bilioni 2 na amepata certificate ya bilioni 2 ...matumizi ya fedha yataonekana ni bilioni ngapi?
kwa lugha nyingine...umezicommit bilioni 10 kujenga barabara but uwezo wa mkandarasi kwenda na kasi ni bilioni 2 so far ...utampatia ili uonekane umetekeleza?
wewe ni mchumi hebu nijibu!
Ipo taasisi maalum ya umma inayofanya ukaguzi wa migodi na madini nchini (Tanzania Mineral Audit Agency).Mhhh!! Nimesikitishwa sana na hili la Sheria Mpya ya madini kumbe Wabunge wa CCM wakishirikiana na Spika Bungeni huwa wanafanya fujo za kuwatoa wabunge wa Upinzani hususani wale wa UKAWA ili wapitishe madudu kama haya? Hivi inakuwaje Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali CAG asiruhusiwe kukaguwa maeneo ya migodi? je ni kweli tuna nia ya dhati kulinda lasilimali zetu hususani madini?
Una uhakika mbona hii TMAA ilifutwa baada ya kuonekana imehusika kuihujumu nchi katika lile suala la makinikia?Ipo taasisi maalum ya umma inayofanya ukaguzi wa migodi na madini nchini (Tanzania Mineral Audit Agency).
Hahahaa....... Labda kule kwa akina ACT wazalendo page!kuna jamaa humu wanaquote hadi vipengele.
hivi inapatikana wapi ili nasisi wakulima tusome na tuchambue kwa akili yetu timamu.