Ripoti CAG: Hesabu za TANESCO ni safi kabisa!

Report ya CAG ya mwaka 2021/2022 imeonesha kuwa Shirika la Tanesco ni moja ya mashirika safi kabisa halina shida yeyote kabisa!

Pamoja na makelele ya watu kuhusu mwenendo wa Tanesco lakini CAG report yake amesema ni shirika safi ....

CAG anaungana na Rais Samia ambaye anaona Tanesco ni shirika lenye tija sana na ufanisi!
TANESCO hawa hawa?
 
Report ya CAG ya mwaka 2021/2022 imeonesha kuwa Shirika la Tanesco ni moja ya mashirika safi kabisa halina shida yeyote kabisa!

Pamoja na makelele ya watu kuhusu mwenendo wa Tanesco lakini CAG report yake amesema ni shirika safi ....

CAG anaungana na Rais Samia ambaye anaona Tanesco ni shirika lenye tija sana na ufanisi!
Hivi mkuu hii report ya 2021/2022 kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Report ya CAG ya mwaka 2021/2022 imeonesha kuwa Shirika la Tanesco ni moja ya mashirika safi kabisa halina shida yeyote kabisa!

Pamoja na makelele ya watu kuhusu mwenendo wa Tanesco lakini CAG report yake amesema ni shirika safi ....

CAG anaungana na Rais Samia ambaye anaona Tanesco ni shirika lenye tija sana na ufanisi!
Kimsingi report ya mwisho ilionyesha Tanesco imeenza kupata faida laini nakurekebisha tena hii iliyosomwa leo ni Report ya June 2020/ June 2021 sio ya 2021/2022!

2021/2022 suburi mwakani mwezi kama huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Report ya CAG ya mwaka 2021/2022 imeonesha kuwa Shirika la Tanesco ni moja ya mashirika safi kabisa halina shida yeyote kabisa!

Pamoja na makelele ya watu kuhusu mwenendo wa Tanesco lakini CAG report yake amesema ni shirika safi ....

CAG anaungana na Rais Samia ambaye anaona Tanesco ni shirika lenye tija sana na ufanisi!
Unategemea nini pale mama anapompkngeza CAG kwa kupunguza hati Chafu?

Hivi KPI ya CAG ni ipi?
 
Kimsingi report ya mwisho ilionyesha Tanesco imeenza kupata faida laini nakurekebisha tena hii iliyosomwa leo ni Report ya June 2020/ June 2021 sio ya 2021/2022!

2021/2022 suburi mwakani mwezi kama huu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwaka 2020/2020 nakubali kabisa kwamba Tanesco ilifanya vizuri.

Ila Tanesco hii ya 2021/2022 kwakweli naona kizunguzungu tu.
 
Watu wanaweza mchukulia Kigwangalla poa kwa sababu za kisiasa au personal issues zao.

Lakini ukisikiliza tena kwa makini malalamiko yake na CAG ile ilikuwa ni warning tosha figisu walizomtungia; inaonekana weledi kwa sasa ofisi ya CAG hakuna.

NAO kama taasisi leo, siyo kama ile iliyokuwa chini ya Prof Assad ambayo ilijikita kwenye professionalism ikibidi kupambana na serikali.

Huyu wa sasa ni CAG wa ovyo inawezekana tangia taasisi hiyo iundwe, vitu anavyoongea it’s just wrong kitaalamu ata kama anataka kuichafua awamu iliyopita.

Report aliyotumia ni ya mwaka 2019/20 ndio ya mwisho; TANESCO tu wameiweka June 2021 publicly na baada ya hapa awatoweka tena audited financial report kama ikitokea basi itakuwa ya 2020/21 na for the most mafanikio yoyote ni ya admin ya awamu ya tano.

Baada ya hapo uwezi ona audited report zao kwa sababu zitakuwa mbovu na ni moja ya shirika ambalo halina janja janja kwa sababu linakaguliwa na private audited firms; so atuwezi ziona tena kuanzia 2021/22.

But why CAG huyu amejiingiza kwenye siasa katika nafasi inayotaka professionalism and ethics za kazi ni kali sana ambazo nchi zingine unavuliwa leseni kwa maadili mabovu ukisikiliza report ya leo ambayo imelenga kuwa mislead wabunge na watanzania kwa ujumla.

Simply appalling
 
Kwa mwaka 2020/2020 nakubali kabisa kwamba Tanesco ilifanya vizuri.

Ila Tanesco hii ya 2021/2022 kwakweli naona kizunguzungu tu.
Ata hiyo unayoingelea ni 2019/20, TANESCO awajaweka report ya 2020/21 bado.

Tuna CAG wa ovyo mno ambae anatudharau sana.

Ndio tatizo la washauri wa maza yaani wanaamini watanzania wa leo ni sawa na wale wa 1979 wakati wanajiunga CCM werevu wachache tu na ukitoka chuo ukosi kazi ndani ya CCM au serikalini kusoma ilikuwa ni prevelege; bado wanaishi kwenye dunia hiyo.

The nonsense ya kwenye hii report kwa ujumla wake is beyond me.

Sijajua taratibu za kumtoa CAG lakini wabunge wanatakiwa kuelezwa huyu bwana kazi zake sio za kuziamini kabisa ni fisadi mmoja mkubwa sana inaonekana na hana maadili ya kazi ata chembe.

Yaani ni CAG wa ovyo mno.
 
Huku wanasema kukatika kwa umeme kumeleta hasara bwawa la kutengeneza umeme mkandarasi anadai 19 billion Leo hao hao tanesco hati safi kweli? CAG AMEKANYWAGWA NA CHOMA KUMOYO YA CHIFU WA KISUKUMA
 
Report ya CAG ya mwaka 2021/2022 imeonesha kuwa Shirika la TANESCO ni moja ya mashirika safi kabisa halina shida yoyote kabisa!

Pamoja na makelele ya watu kuhusu mwenendo wa TANESCO lakini CAG report yake amesema ni shirika safi ....

CAG anaungana na Rais Samia ambaye anaona TANESCO ni shirika lenye tija sana na ufanisi!
Kwa hiyo,"ukweli na uwazi".
 
Nimemsikia CAG akisema ukaguzi ule ni ukaguzi wa hesabu za serikali pamoja na kazi zilizotekelezwa na Serikali kwa mwaka unaoanzia tarehe 1 Julai 2020 hadi tarehe 30 Juni 2021. Kama ni hivyo, basi hii taarifa ina vipande viwili vya uongozi yaani JPM kuanzia tarehe 1 Julai 2020 hadi tarehe 17 Machi 2021 na SSH kuanzia tarehe 19 Machi 2021 hadi tarehe 30 Juni 2021 (hapa SSH atakuwa ametumikia kwa miezi 3 na siku kadhaa).
Tulianza kunyooka, ama ? "Ukweli na uwazi".
 
CAG report yake siyo ya 2022!
Naona wengi wanaojadili wanafikiri hivi!
Kwa kweli naona kuna shida hapo. CAG anasema report yake in cover Mwaka wa Fedha 2020/2021, yaani kuanzia 01 July 2020 hadi 30 June 2021. Kwa maana hiyo hajakagua kuanzia tarehe 1 Julai 2021 hadi sasa. Naamini taarifa yake ya mwaka kesho ndio itakuwa ni ya ukaguzi wa kuanzia 1 Julai 2021 hadi 30 Juni 2022. Naona watu hawaelewi haya mambo. CAG inabidi atoe elimu kwa jamii ili waelewe ukaguzi wake unakuwa vipi.

Mimi kama mfuatiliaji wa taarifa za CAG naona kuna kitu kingine ambacho wananchi ama wenzetu humu JF hawajaelewa; ni kwamba taarifa iliyosomwa jana ni highlights tu za report za CAG wakati anamkabidhi Mh Rais, taarifa hizo zikishafikishwa Bungeni ndipo taarifa hizo huwekwa hadharani na CAG kuitisha kikao na waandishi wa habari na kutoa taarifa kamili kwa umma. Hii nimekuwa nikiiona tangia nimeanza kufuatilia taarifa hiza kuanzia enzi za mzee Uttoh na Prof. Assad.
 
2
Report ya CAG ya mwaka 2021/2022 imeonesha kuwa Shirika la TANESCO ni moja ya mashirika safi kabisa halina shida yoyote kabisa!

Pamoja na makelele ya watu kuhusu mwenendo wa TANESCO lakini CAG report yake amesema ni shirika safi ....

CAG anaungana na Rais Samia ambaye anaona TANESCO ni shirika lenye tija sana na ufanisi!
2020/2021
 
2

2020/2021
Huyo jamaa hajui hata hizi taarifa huwa ni za miaka ipi!!

Nimeona wengi humu jamvini pia hawajaelewa Hilo!

Nina mashaka hata hao wabunge kama hawatajua ni report inayomgusa mwendakuzimu 80% na mama Samia 20% Tu.

Tumekuwa taifa la taharuki na mihemko Sana! Sad
 
Mnaopinga report ya CAG kwa tanesco
Wekeni ya kwenu sasa

Ova
Kuna hasara ya $8.5millions kutokana na madai ya fidia ya mkandarasi wa Bwawa la Nyerere Hydroelectric.
Kisa ni kukatika ovyo kwa Umeme tena bila Taarifa rasmi na hivyo anadai fidia hiyo ya hasara aliyoipata.
 
Back
Top Bottom