Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,702
Taarifa ya Msiba.
Profesa wa Sheria UDSM, Josephat Kanywanyi kafariki Jumapili asubuhi tarehe 10.01.2021 Ibada ya kuaga mwili itafanyika Nkrumah Hall siku ya Jumanne saa tano asubuhi. Na Mazishi ni saa kumi jioni makaburi ya Kinondoni.
Msiba upo Nyumbani kwake Survey.
RIP Prof. Bwana alitoa, Bwana Ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe Amen.
Profesa wa Sheria UDSM, Josephat Kanywanyi kafariki Jumapili asubuhi tarehe 10.01.2021 Ibada ya kuaga mwili itafanyika Nkrumah Hall siku ya Jumanne saa tano asubuhi. Na Mazishi ni saa kumi jioni makaburi ya Kinondoni.
Msiba upo Nyumbani kwake Survey.
RIP Prof. Bwana alitoa, Bwana Ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe Amen.