Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Wana jamii leo hii mkuu wa kaya ameongoza maafisa wa majeshi ya ulinzi na usalama katika kumuaga Kamishna Nkuku ambaye ametutoka hivi majuzi. Jamaa huyu alikuwa mchapa kazi kwelikweli na amekuwa tegemeo kubwa katika jeshi hilo kwani amekua haogopi kuchukua maamuzi magumu. Alikuwa anaijua kazi yake na aliweza kuimudu
R. I . P Kamishna Nkuku
R. I . P Kamishna Nkuku