Hongereni watu wa Chalinze kwa kutumia demokrasia
Hivi vi-"political dynasties" vina mwisho mbaya. Angalia kinachotokea nchi za Waarabu sasa. Kule Libya, Syria, Iraq,..., kote wameishia kuchinjwa tu baada ya watu nchi hizo kuwachoka.Tusidharau maamuzi ya wananchi wa Kalenga na Chalinze. wao ndio wameamua hawa vijana ndio wawe viongozi wao. Majungu yasichukue nafasi ya demokrasia.
Ridhione kikwete amishinda kwa kishindo uchaguzi wa kura za maoni huku akiwaacha wapinzani wake kwa mbali katika uchaguzi huo uliojaa vuta nikuvute nyingi lakini hatimaye ameibuka kidedea WAITWAO NI WENGI ILA WATEULE NI WACHACHE JE UNATAKA KUJUA KURA ZILIKUWAJE TIRIRIKA HAP
Riz kura 758
Madega 335
Maneno 206
mkwanzu 12
Kura zilikuwa1363
Haribika 5
Halali1316
Kwa rugha Nyepesi CCM inakura 1,316 katika uchguzi wa Ubunge Karibuni saana MA-CHADEMA chalinze Mje mpokee aibu TASILIMU AKA AIBU KESHI...
Hivi vi-"political dynasties" vina mwisho mbaya. Angalia kinachotokea nchi za Waarabu sasa. Kule Libya, Syria, Iraq,..., kote wameishia kuchinjwa tu baada ya watu nchi hizo kuwachoka.
Ninyi endeleeni kuiita hii ni democrasia!
watu watakunyima hela na chakula lakini sio maneno.Ridhione kikwete amishinda kwa kishindo uchaguzi wa kura za maoni huku akiwaacha wapinzani wake kwa mbali katika uchaguzi huo uliojaa vuta nikuvute nyingi lakini hatimaye ameibuka kidedea WAITWAO NI WENGI ILA WATEULE NI WACHACHE JE UNATAKA KUJUA KURA ZILIKUWAJE TIRIRIKA HAP
Riz kura 758
Madega 335
Maneno 206
mkwanzu 12
Kura zilikuwa1363
Haribika 5
Halali1316
Kwa rugha Nyepesi CCM inakura 1,316 katika uchguzi wa Ubunge Karibuni saana MA-CHADEMA chalinze Mje mpokee aibu TASILIMU AKA AIBU KESHI...
Hivi vi-"political dynasties" vina mwisho mbaya. Angalia kinachotokea nchi za Waarabu sasa. Kule Libya, Syria, Iraq,..., kote wameishia kuchinjwa tu baada ya watu nchi hizo kuwachoka.
Ukisema watakuambia kwa kejeli Siasa za Waarabu tofauti na za TZ..........
watu watakunyima hela na chakula lakini sio maneno.Ridhione kikwete amishinda kwa kishindo uchaguzi wa kura za maoni huku akiwaacha wapinzani wake kwa mbali katika uchaguzi huo uliojaa vuta nikuvute nyingi lakini hatimaye ameibuka kidedea WAITWAO NI WENGI ILA WATEULE NI WACHACHE JE UNATAKA KUJUA KURA ZILIKUWAJE TIRIRIKA HAP
Riz kura 758
Madega 335
Maneno 206
mkwanzu 12
Kura zilikuwa1363
Haribika 5
Halali1316
Kwa rugha Nyepesi CCM inakura 1,316 katika uchguzi wa Ubunge Karibuni saana MA-CHADEMA chalinze Mje mpokee aibu TASILIMU AKA AIBU KESHI...
kwa nini umeona ni chadema tu! Ni mtu mjinga tu anaeweza kuwa na mawazo kama wewe... Ndo maana unajiita JINI MAHABA... Unawaza NGONO TU ZA MAJINI!