wamaukweli
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 1,084
- 1,275
Uchochez huoKumbe nyani ngabu yuko marekani ila hajui taarifa vizuri
Uchochez huoKumbe nyani ngabu yuko marekani ila hajui taarifa vizuri
kbsUbonge unapeleka resi
Uko nyuma nyuma sana...Huu ndio muonekano wake kwa sasa.Apunguze uzito
Vipi yule mgonjwa wenu wa Ukimwi mlie mpeleka India kubadilisha damu anaendelea nae? Naona Bunge limekuwa kimya sana kuhusu afya yake huko IndiaHope he pulls through..
We ndo ziro kabisa, ameimba halleluyahAliposikia Halleluya inaweza fungiwa akaanguka au?? Nijuzeni niko kijijini
bize na box
i THINK iM BIG mEECH,lARRY hOOVER,ONE NATION "HALLELLUJAH"We ndo ziro kabisa, ameimba halleluyah
Waka WakaAliposikia Halleluya inaweza fungiwa akaanguka au?? Nijuzeni niko kijijini
Hawa watu wa karibu sometimes sio wa kuwaamini,nakumbuka hata weasle aliandika ktk inst wall yake kwamba moses radio hayuko katika koma,ana nafuu ataruhusiwa soon kiendelea na mishe zake na anaongea,matokeo yake mtu akavuta muda mchache tu.Kasha tolewa kwny mashine 3 hours ago